Kwa wanaume wenye hekima

Kwa wanaume wenye hekima

Hata mimi nilipoenda kutahiriwa at the age of 14, daktari alimpongeza baba kwa uamuzi huo...
Kwa sababu ni umri ambao akili ya mtoto imeanza kutulia na hupunguza usumbufu wakati wa kutahiri.
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda.

Hayo mambo ni uzushi...tahiri mtoto wako mapema. Kuna watu hawatairi kabisa lakini wanavibamia
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda.

Hamna uhusiano wowote kati ya kumtahiri mtoto na ukuaji wa viungo vyake, viungo vinakuzwa na hormones na kutahiri ni swala physical, tena kiafya inashauriwa umtahiri mtoto mapema ili kufanya recovery yake iwe ya mapema kuliko recovery ya ukubwani inatesa sana.
 
Back
Top Bottom