Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Haya haya sasa,
Wale mabachela sugu wamerudi tena
Wanawashangaa mnamlalamikia mapenzi
Niko na Mwamba hapa oysterbay, senior batchelor ananiuliza
Money Penny what is love?!
"Love ndio nini?
SIJAWAHI kuwa kwenye mahusiano Kwa Miaka 10 sasa na sina stress and I feel line" au nimelogwa?!
Haya wale wanaojua mapenzi mkuje mumsaidie kakaenu WA kwanza
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2.https://www.jamiiforums.com/threads/nimekupa-kila-kitu-na-bado-umeniacha-malalamiko-ya-madada-wengi.2131338/
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
Wale mabachela sugu wamerudi tena
Wanawashangaa mnamlalamikia mapenzi
Niko na Mwamba hapa oysterbay, senior batchelor ananiuliza
Money Penny what is love?!
"Love ndio nini?
SIJAWAHI kuwa kwenye mahusiano Kwa Miaka 10 sasa na sina stress and I feel line" au nimelogwa?!
Haya wale wanaojua mapenzi mkuje mumsaidie kakaenu WA kwanza
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2.https://www.jamiiforums.com/threads/nimekupa-kila-kitu-na-bado-umeniacha-malalamiko-ya-madada-wengi.2131338/
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!