jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Elimu mbovu imekuja kipind cha ndalichako au? Ubovu ulianzia enz za jk!! Hivyo hupaswi kumlaumu ndalichako, labda kama una agenda za madrasa mana huwa mnapiga vita toka enzi akiwa katibu mkuu wa hiyo wizara, jk kuona maneno yamekuwa mengi kutoka madrasa ikabdi amtoe tu.Kwa muongo mmoja uliopita umuhimu wa elimu ulikuwa na thamani sana kwa vijana maana thamani yake iliendana na mazingira yaliyokuepo na watu wengi walitamani kupata elimu ili waweze kujikomboa kiuchum...