Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Line zimeisha ...sijajua lini zingine zitakuja...ila kama una shida nayo unaweza nicheki kwa wakala anapatikana Moshi na nitakupa no zake muwasiliane kwa biashara zaidi.

Kama zitakuja mpya mtapata taarifa hapa hapa kwenye thread hii asante sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzigo umeingia jana. Karibuni sana

Kwa maelezo zaidi rejea uzi juu..
IMG_20190212_190610.jpeg
IMG_20190213_154003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika na mpaka sasa zimebak 7 tu(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group SmatSkills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni
uafanya biasara halafu unataka tukubembembeleze kujua matumizi yake?...pole!
 
Serikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Serikali ya TZ ijirekebishe iruhusu Paypal kama Kenya.

Tunakosa fursa nyingi za kibiashara. Binafsi napata tenda za kuwatengenezea system ya kupokea malipo online kwa paypal watu wa biashara ya utalii inashindikana.

Nataka kuuza kazi zangu hadi nje kama freelancer malipo kwa paypal inashindikana.

Serikali inaweza kukusanya kodi fedha za kigeni ikijipanga ktk hili.

CC: Mh. Magufuli, Governor Luoga, Philip Mpango.
 
S

Serikali ya TZ ijirekebishe iruhusu Paypal kama Kenya.

Tunakosa fursa nyingi za kibiashara. Binafsi napata tenda za kuwatengenezea system ya kupokea malipo online kwa paypal watu wa biashara ya utalii inashindikana.

Nataka kuuza kazi zangu hadi nje kama freelancer malipo kwa paypal inashindikana.

Serikali inaweza kukysanya kodi fedha za kigeni ikijipanga ktk hili.

CC: Mh. Magufuli, Governor Luoga, Philip Mpango.
Yap bila kujiongeza mzee utapitwa na mengi sana. PayPal ni world wide afu eti bongo haifanyi kaz...mambulula wasiojielewa ndio wageni kwenye hizi mambo. Jitu lina simu ya laki 5 lakini kwa ajili ya kuchat ujinga tu,hata kugoogle PayPal ni nini hawezi anakuja kupayuka ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali inaweza kukusanya kodi fedha za kigeni ikijipanga ktk hili.

CC: Mh. Magufuli, Governor Luoga, Philip Mpango.
Kungepatikana watu wa ku-push enzi za Muungwana JK, ingewezekana kabisa lakini leo hii ambapo JPM kila mtu anamuona mwizi kasoro yeye na Daud tu; sio kazi ndogo serikali hii kuwashawishi!
 
Back
Top Bottom