theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Dar unapatikana wapi nahitaji laini moja mkuu
Mkuu samahani,kuna jamaa zangu wanataka niwekee mbili j2 uhakika nakuja kuchukua
Fanya muamala kabsa mana nawekea waliotoa hata advance.... zikifika jpili utazikuta zikiisha basi
Nahhitaji unapatkana wapFanya muamala kabsa mana nawekea waliotoa hata advance.... zikifika jpili utazikuta zikiisha basi
Kaka nahitaji napatajeFanya muamala kabsa mana nawekea waliotoa hata advance.... zikifika jpili utazikuta zikiisha basi
Mkuu naomba tuwasiliane kama vipi nikutumie pesa kesho nije kuchukua nina ihitaji sana hyo line aiseeMbagala saba saba kwa Mpili
Kama unakuja kweli nikuwekee...ntakuepo kwanzia saa 7 mchanaMkuu naomba tuwasiliane kama vipi nikutumie pesa kesho nije kuchukua nina ihitaji sana hyo line aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu naomba uniwekee kama vipi nipm no yako basi ili iwe rahisi kukupataKama unakuja kweli nikuwekee...ntakuepo kwanzia saa 7 mchana
Poa mkuu naomba uniwekee kama vipi nipm no yako basi ili iwe rahisi kukupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
Inakuaga imesajiriwa kabisa full registration kule kule Kenya tena kwa National ID, Na number za ID unapewa/zmeandikwa kwenye registration form baada ya kukamilisha usajiri wake.. Swala la kutumia WhatsApp kusumbua watu hii ni mtu mwenyewe na matatizo yake au akiri zake! Sidhani kama ndio matumizi yake hayo..
Huezi pewa jibu bob... sababu imani yako ndogo kene hizi line amini unachoamini=>>>multiple IDs
PovuHuezi pewa jibu bob... sababu imani yako ndogo kene hizi line amini unachoamini=>>>multiple IDs
Majibu ya swali lako yako kwenye hii hii thread! So tafuta huko pages za awali..
vip laini bado zipoHabari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika na mpaka sasa zimebak 7 tu(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group SmatSkills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni