kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
2011 inaiishia,mengi yamejadaliwa hapa jf.watu wamajenga marafiki/maadui,wamefurahi,wamenuna,wameshutumiwa,
wamekosolewa,wamekashifiwa,wametukanwa.kwa ujaumla mengi yametendeka hapa jf kwa 2011.sasa wewe ni mwana jf wa umri wa miaka 20,25 hadi 30.vuta picha siku unakutana uso kwa uso na mwana jf
wamekosolewa,wamekashifiwa,wametukanwa.kwa ujaumla mengi yametendeka hapa jf kwa 2011.sasa wewe ni mwana jf wa umri wa miaka 20,25 hadi 30.vuta picha siku unakutana uso kwa uso na mwana jf
mwenye umri kati ya miaka 45-50,anajitambulisha kwa ID yake anayo tumia hapa jf,unakumbuka kuna siku ktk mjadala flani mlipishana lugha.pasipo ustahimilivu yeye akakutukana mpaka ukaumia rohoni,mbaya zaidi lugha aliyo tumia kukutukana ni lugha za vijiweni tunazotumia vijana wa leo.unaangalia umbile lake na kugundua ni mtu aliye kuzidi umri kwa mbali sana,swali je utakumbushia na kumkanya kwa maneno yake machafu ya siku hiyo au utapotezea.tuendelee......