Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Mi nilimaliza 1989 ,mpoooo LY 89????
Nipo nimemaliza 1989 nawakina ahmed elmaamry,sio Solomon , mringi shayo, sada shaha ,kerin chonya, Martha mpangile,Clara Phillip,Margreth igata,Lilian tairo,Alice lobo , mang'enya,Jemina Gondwe,Zakia dindili .Wana group uko whattsup
 
Emmanuel Lugina nasikia ni daktari bingwa
 
Nipo nimemaliza 1989 nawakina ahmed elmaamry,sio Solomon , mringi shayo, sada shaha ,kerin chonya, Martha mpangile,Clara Phillip,Margreth igata,Lilian tairo,Alice lobo , mang'enya,Jemina Gondwe,Zakia dindili .Wana group uko whattsup
Lilian Tairo namkumbuka sana. Alikuwa na tako balaa.
Nasikia yupo Marekani.
Siku hizi anaitwa Lilian Fisher nadhani
 
Nipo nimemaliza 1989 nawakina ahmed elmaamry,sio Solomon , mringi shayo, sada shaha ,kerin chonya, Martha mpangile,Clara Phillip,Margreth igata,Lilian tairo,Alice lobo , mang'enya,Jemina Gondwe,Zakia dindili .Wana group uko whattsup
Clara Phiri yupo wapi?
 
Poleni sana alimaliza mwaka gani pale forodhani?

Una picha yake?
Picha sina na sijui alimaliza lini ila inaonekana alikuwa kijana wa mjini na niliona jana yule mwana Twitter, Bi. Carlos Ndosi amepost kama mzazi mwenzake kwamba amefariki ndo nikakumbuka huu uzi

Pia kuna uzi chini hapa niliona huenda info zaidi zitapatikana

 
Kupindi hicho yuko ada Estate anakaa tulikuwa ma best sana

Ova
 
Yupo Mwalimu Hassan Mbazigwa? Mwalimu Kauta? Mwalimu George?
 
Nipo nimemaliza 1989 nawakina ahmed elmaamry,sio Solomon , mringi shayo, sada shaha ,kerin chonya, Martha mpangile,Clara Phillip,Margreth igata,Lilian tairo,Alice lobo , mang'enya,Jemina Gondwe,Zakia dindili .Wana group uko whattsup
wako hai badooo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…