Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Hivi mnamkumbuka Alice lobo YULE muhindi mjinga darasani anahonga afanyiwe hesabu.Hamza juma kwa mademu tobaaa.Sada shaha,Kerin chonya,Martha mpangile,Clara ,lilian tairo,salama Mohamed ,modi Gaye ,kiyeyeu mwakawago,Ahmed Elmaamry ,Emma kiando.
 
Insha Allah Amiin, ni kweli Mwl wenu alipata stroke then the condition didn't get better mpaka anafariki

Jamanii Saiwaad amefariki kumbe.....may Allah rest his soul in eternal peace,alikuwa handsome wa ukweli
 
Hivi mnamkumbuka Alice lobo YULE muhindi mjinga darasani anahonga afanyiwe hesabu.Hamza juma kwa mademu tobaaa.Sada shaha,Kerin chonya,Martha mpangile,Clara ,lilian tairo,salama Mohamed ,modi Gaye ,kiyeyeu mwakawago,Ahmed Elmaamry ,Emma kiando.

Umemaliza mwaka gani mkuu?
 
waw unakumbukumbu balaa
 
Dah mmenikumbusha mnoo, MI nakumbuka mwal Msaky alikuwa anamtindo wa kucheki usafi wa chupi mkiwa darasa la2,bac Siku hiyo kila mtu atavaa vzr na kujichekesha Sana. Afu nakumbuka toka daras la kwanza tilikuwa twaongoza Na Emmanuel Lugina sijui yupo wapi Siku hiz? Afu alikuwa na dada yake anaitwa Marry Maximilian akiongiza darasa LA Nyumba yeti. Afu kuna toto tundu alikuwa mbele yetu anaitwa Gerald kondowe sijui yupo wap?
 
Mimi nimemaliza 2001... imenifanya kujua mitaa ya posta sana. Great adventure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…