Kwa walioona sherehe ya muungano jana

Kwa walioona sherehe ya muungano jana

wakati watanzania wanalalamika hali ngumu serikali inanunua madege ya kifahari.
 
KUNA MATAHIRA na Vichaa sjui nkuweke kundi gan

kwanza wewe nenda kajiweke kundi la wagonjwa waliopo wodini MIREMBE ndipo uanze kushabikia hayo maonyesho ya kipuuzi yanayoteketeza fedha za umma wakati mama zetu wanakufa hospitali kwa kukosa nyembe za kukatia vitovu vya watoto. wee chizy nini?
 
Bora vipate kutu tukiwa tunavyo

Mpaka sasa wewe binafsi umesha wahi kununua madawati mangapi kwa shule yoyote ile kama msaada?

stop opening your wide mouth! madawati anunue nani? na kodi ninayolipa anakula nani? a twit at work!
 
Hiyo hiyo kodi ndio pia inatumika kununua hivyo vifaa vya kijeshi,
Sijui ni sehemu gani wanachi wametishiwa labda kama kuna mwanajeshi alikuja akakutisha wewe binasi,
Kilicho fanyika jana ni kuonyesha wananchi uwezo tuliofikia kitika zana za kijeshi na kuwaondolea hofu rai wote watanzania dhidu ya adui yeyote. Kama kuna anayekutishia huko mtaani inatakiwa akufinye kisawasawa maaan hata picha huelewi.

kumbe mataahira mpo wengi hivyo?

anachoongelea mtoa comment sio matumizi sahihi ya kodi bali anastaajabishwa na matumizi mabovu ya fedha za umma wakati watoto wetu wakiwa hawana madawati ya kuketi.

wewe unadhani wale wanamaonyesho wote walitumia tsh ngapi kuonyesha ule ujinga wao? acha kujitoa akili, mkuu.
 

Nilitegemea kutakuwa na Picha nying za matukio ya Jana. hadi youtube niliangalia labda kuna update yoyote hakuna> I really need to see what happened.

Na ukishaona kilichotokea kisha iweje?
 
ni nchi gani hii??? eti vifaa vya kijeshi vinanunuliwa kupitia dalali wa kihindi (jeetu patel)alafu mnachekelea ujinga huu,watz siku mkipata akili japo robo tu mtauana tusubiri

hivyo vifaa alivyonunua mhindi vikichakaa, wampe KAGAME udalali akawanunulie vifaa vya jeshi.
 
2.JPG

jk mburula kweli. nani anatumia hii migari kwenye vita siku hizi? wakati wenzetu wanatumia ndege zisokuwa na rubani sisi bado tunaonyesha migari mibovu? ama kweli aliyeturoga kafa!
 
TAAHIRA NI YULE ANAYESUBIRI ASOMESHEWE MTOTO WAKE NA SERIKALI
afanye kazi hata za kilimo sio kusubiri maandamano na kushabikia siasa
Siasa sasa inaelekea Ulingoni ni lazima tutawaliwe kwa viboko km hamjui kushika SMG
Tutasikia wenzetu wanawapeleka wanawe English Medium, Seco, University, mara China wengine wasubiri madesk ya msaada.
NYUMBA YEYOTE HULINDWA KWANZA NJE ndipo msosi halafu kujiendeleza
Hayo madawati yakijaa na adui akiingia ataanza na Mama zetu Dada na wake zetu AIBU ya nini sasa
?


wewe kweli kilaza sana i see! kuna vita inayoua kuliko hospitali mbovu za serikali? tembelea mortuary uone watanzania wanavyokufa kwa sababu ya ukosefu wa dawa na vifaatiba wewe mburula. usidhani watu wanaokufa kwa risasi ndio muhimu sana.
 
Huyo jamaa ni kilaza tu hajawahi hata kufaulu,jeshi letu lazima liendane na wakati ukizingatia tunawasomi wa kutosha jeshini tofauti na miaka ya nyuma ,waliokuwa wakifeli ndk wanakimbilia jeshi.

liende na wakati kisiasa au kivifaa. yale mavifaa chakavu yaliyoonyeshwa kule ndiyo unajivunia? you must be lunatic!
 
jk mburula kweli. nani anatumia hii migari kwenye vita siku hizi? wakati wenzetu wanatumia ndege zisokuwa na rubani sisi bado tunaonyesha migari mibovu? ama kweli aliyeturoga kafa!

kamuulize kagame aka PAKA ni kipi kilichomfanya afyate mkia baada ya kipigo cha GOMA
 
Wanaobeza maonesho sherehe za Muungano za jana wooote, tunawajua kwa majina na sura zenu hapa, hivyo tutawapeleka Somalia mkakae huko kwa mda wa miezi 3, mkirudi nadhani mtajua umuhimu wa maonesho ya jana.

huu ni woga tu. mtu jasiri na mwenye akili timamu hatangazi silaha zake hadharani.
 
huu ni woga tu. Mtu jasiri na mwenye akili timamu hatangazi silaha zake hadharani.

aliyeonyesha silaha hadharani ni nani? Ficha upumbavu wako na wivu wa ki paka, yale ni maonyesho tu ukitaka kujua silaha zetu mwambie aliyekutuma atuchokoze
 
Back
Top Bottom