Kwa walioona sherehe ya muungano jana

Kwa walioona sherehe ya muungano jana

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,089
Reaction score
72,512
Janaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle
 
Last edited by a moderator:
Vifaa vyote vya kijeshi vime nipa hamasa ya kuzidi kuwa na imani na jeshi letu,sikupata muda wa kuona vyote nilifanikiwa kuona kiduchu

Ni salamu kwa KAGAME ,hakika tunge mchapa kwa siku moja tu.
 
Walinifurahisha walipokuwa wanapeana sifa wenyewe kwa wenyewe kwa kuitana komando na jamaa anapiga tofali kichwa kama Bruce lee
 
na yule alio vunjiwa tofali aisee nilipenda sana

ImageUploadedByJamiiForums1398590187.363686.jpg
 
majirani wametuchabo jana, ngoja wakajipange. nimefurahi yule bibi kuambiwa anajua kiswahili vizuri yeye akajibu "kidogo"... jk akampiga shushu la kistaarabu.
 
Mimi nilimiss ule uhondo, nilikuwa hukoo kwenye ujasiriamali kutafuta angalau uji kwa ajili ya familia yangu. Ilikuwaje?
 
Mi ilinichekesha onyesho la Police mbwa walicommandiwa wakae ila kuna m1 alibaki kasimama dede nikaona yule Police aliyekuja na yule mbwa kama alikuwa anamforce hivi kukaa ila waapi mbwa kakaza.Police akaona isiwe ishu akaamua kumkaushia tu!
 
Bangi au madawa mengine ya kuondoa uoga au kuongeza nguvu na kupunguza uwezo wa mwili kuhisi maumivu vinaweza kuwa vilihusika. Sidhani kama miili ya kawaida ya sasa ikatuwezesha kufanya hayo
 
Mi ilinichekesha onyesho la Police mbwa walicommandiwa wakae ila kuna m1 alibaki kasimama dede nikaona yule Police aliyekuja na yule mbwa kama alikuwa anamforce hivi kukaa ila waapi mbwa kakaza.Police akaona isiwe ishu akaamua kumkaushia tu!

Hahhhhahhhhahhhhahha
 
Back
Top Bottom