Kwa walioona sherehe ya muungano jana

Kwa walioona sherehe ya muungano jana

Siyo wajibu wake kununua madawati ni wajibu wa serikali. Wajibu wake kama raia ni kulipa kodi na serikali kuitumia kodi kuleta maendeleo siyo kununua vifaa vya jeshi vya kutishia wananchi.

Hiyo hiyo kodi ndio pia inatumika kununua hivyo vifaa vya kijeshi,
Sijui ni sehemu gani wanachi wametishiwa labda kama kuna mwanajeshi alikuja akakutisha wewe binasi,
Kilicho fanyika jana ni kuonyesha wananchi uwezo tuliofikia kitika zana za kijeshi na kuwaondolea hofu rai wote watanzania dhidu ya adui yeyote. Kama kuna anayekutishia huko mtaani inatakiwa akufinye kisawasawa maaan hata picha huelewi.
 
Janaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle

m pamenichekesha pale mbwa kagoma kulala chin aisee mbwa kiburi
 
Last edited by a moderator:
Jamani hakuna hata Picha na sisi tuiokuwa huko tuone kilichojiri???

CC Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Jamani hakuna hata Picha na sisi tuiokuwa huko tuone kilichojiri???

CC Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Hiyo hiyo kodi ndio pia inatumika kununua hivyo vifaa vya kijeshi,
Sijui ni sehemu gani wanachi wametishiwa labda kama kuna mwanajeshi alikuja akakutisha wewe binasi,
Kilicho fanyika jana ni kuonyesha wananchi uwezo tuliofikia kitika zana za kijeshi na kuwaondolea hofu rai wote watanzania dhidu ya adui yeyote. Kama kuna anayekutishia huko mtaani inatakiwa akufinye kisawasawa maaan hata picha huelewi.

Adui mkubwa wa raia ni umasikini sasa sijui wewe unamuongelea adui yupi. Silaha ya kwanza ya kuupiga umasikini ni elimu. Na hapo ndiyo madawati yanasaidia.
 
Adui mkubwa wa raia ni umasikini sasa sijui wewe unamuongelea adui yupi. Silaha ya kwanza ya kuupiga umasikini ni elimu. Na hapo ndiyo madawati yanasaidia.

Jadili basi hojaa auu vipii
 
Jamanii tayta yuko aweke pichaaa au mwingine awekeee hapa pichaa

Nilitegemea kutakuwa na Picha nying za matukio ya Jana. hadi youtube niliangalia labda kuna update yoyote hakuna> I really need to see what happened.
 
Adui mkubwa wa raia ni umasikini sasa sijui wewe unamuongelea adui yupi. Silaha ya kwanza ya kuupiga umasikini ni elimu. Na hapo ndiyo madawati yanasaidia.

Kwa hiyo ulitaka serikali iache kununua vifaa vya jeshi ipite kila mlango igawie wanachi hela,
Wakati we tukikupatia tu saa hii jioni umetoa na ofa ya rafiki zako kwa pombe, twende kwny mada wacha mboyoyo ukiona haikufai majukwaa na thread ziko mingi
 
Siyo wajibu wake kununua madawati ni wajibu wa serikali. Wajibu wake kama raia ni kulipa kodi na serikali kuitumia kodi kuleta maendeleo siyo kununua vifaa vya jeshi vya kutishia wananchi.
Acha ujinga wwe...wwe kungekuwa na hata hizo shule kama nchi isingekuwa na ulinzi wenye vifaa vya kutosha na vya kisasa....Na hvi mbona unapokaa unaweka mlango tena imara wenye kofuli au kitasa cha kisasa kwanza kabla hujanunua hata kijiko kuweka ndani, Au ukiwa unauwezo unaweka mpaka ukuta wenye get kubwa...fikir kabla ya kusema
 
Acha ujinga wwe...wwe kungekuwa na hata hizo shule kama nchi isingekuwa na ulinzi wenye vifaa vya kutosha na vya kisasa....Na hvi mbona unapokaa unaweka mlango tena imara wenye kofuli au kitasa cha kisasa kwanza kabla hujanunua hata kijiko kuweka ndani, Au ukiwa unauwezo unaweka mpaka ukuta wenye get kubwa...fikir kabla ya kusema

Jana kilikuchekeshaa ninii kwenye sherehe za Muunganooo
 
Back
Top Bottom