BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
Au parachutii ilikua na mabomuu labdaaa,acha kumuogopesha mwenzioo
Hahahaaa hajawahi kuona tangu azaliwe kama alikuwa uwanjani atakuwa alianza kukimbia
Au parachutii ilikua na mabomuu labdaaa,acha kumuogopesha mwenzioo
Shule atasoma nani kama kuna mabomu ya adui yanatua kwenye madarasa? Kuweni wazalendo japo kidogo tu.Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu
kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
Sehemu iliyonifurahisha ni pale mc mjeda yule aliposema tutaulinda muungano nikawakumbuka ukawa na Tanganyika yao nikaona wanatafuta kipigo tu.
Sehemu nyingine ni kikwete kucheka full time.
Pia alipomtambulisha waziri mkuu wa Rwanda kisha akasema hatuna ugomvi lazima majiran wakae kwa upendo.
ni nchi gani hii??? eti vifaa vya kijeshi vinanunuliwa kupitia dalali wa kihindi (jeetu patel)alafu mnachekelea ujinga huu,watz siku mkipata akili japo robo tu mtauana tusubiriJanaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle
Weka na nyingine plizz nahitaj kuchekaa tu mim leooo
Sasa si mutuwekee mapichaa fyooooo!! Wengine hatuna kideo munasemasema tu na kunirusha roho hapa!! Munaniudhi !! Weka video !!!fyuuuuuuuu!!(afu ninahasira sijui nani kaniudhi ? Kideo sina!!!) hujambo Dinazarde .....?
Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu
.kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
Bora vipate kutu tukiwa tunavyo
Mpaka sasa wewe binafsi umesha wahi kununua madawati mangapi kwa shule yoyote ile kama msaada?