matofali.
naam kuna boti imetengenezwa nchini
matofali.
TAAHIRA NI YULE ANAYESUBIRI ASOMESHEWE MTOTO WAKE NA SERIKALIUtaahira wake uko wapi? Ameuliza swali la maana.
Shule atasoma nani kama kuna mabomu ya adui yanatua kwenye madarasa? Kuweni wazalendo japo kidogo tu.
Janaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle
Halafu yule mwakilishiii anaonyeshwaa muda mrefuu kwenye Tv aisee hahhhhahhha stunna weka basi picha mi siwezi
We unakula na kushiba wakati huchangii madwati hayo!Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu
Bora vipate kutu tukiwa tunavyo
Mpaka sasa wewe binafsi umesha wahi kununua madawati mangapi kwa shule yoyote ile kama msaada?
dawati la mwanawe?watoto wake wanalala chini wametandika magunia !Utakuta hata la mwanaee hajawahi kununuaaaa
We unakula na kushiba wakati huchangii madwati hayo!
Inferiority complex.Nani kasema anataka kutupiga mabomu!? Kwanza nchi yetu inasifika kwa Diplomasia na sio vita
Kuna boti ya fibre moja kwa ulinzi wa bahari "made in tanzania"kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
Siyo wajibu wake kununua madawati ni wajibu wa serikali. Wajibu wake kama raia ni kulipa kodi na serikali kuitumia kodi kuleta maendeleo siyo kununua vifaa vya jeshi vya kutishia wananchi.
Tena mshehereshaji alikuwa anaweka msisitizo jinsi mbwa wale walivyo watiifu, lakini wapi !Mi ilinichekesha onyesho la Police mbwa walicommandiwa wakae ila kuna m1 alibaki kasimama dede nikaona yule Police aliyekuja na yule mbwa kama alikuwa anamforce hivi kukaa ila waapi mbwa kakaza.Police akaona isiwe ishu akaamua kumkaushia tu!
Umepanga kufanya nini mpaka vile vifaa vikutishie wewe ?!...........kombora la kutungulia ndege litageuka likutungue wewe ?.......wewe ogopa mabomu ya machozi na risasi za mpira. Na hiyo si kazi ya jeshi, wenye kazi hiyo wanaitwa 'Fanya Fujo Uone'