Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Na wewe umekosea. Sio matahira ni mataahira!Sio matahila ni Matahira
Na wewe umekosea. Sio matahira ni mataahira!Sio matahila ni Matahira
Pale wasanii walipoanza kuimba hasa hasa linnah akiimba wimbo wa hello tanzania,
Inaonyesha prezid anaupenda maana alisimama na kuanza kupiga makofi akicheza cheza....
Jamaniii hahhahhhhahhhahha kuna kifaa kimoja kilitengenezwaaa hapa bongo walisemaa
Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu
Bora vipate kutu tukiwa tunavyo
Mpaka sasa wewe binafsi umesha wahi kununua madawati mangapi kwa shule yoyote ile kama msaada?
Janaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle
Hapo kwenye "JK kupenda sifa" kesho utakuta jabari gazeti la UHURU kichwa cha habari dinazarde mchochezi kumbe mwenyewe ulimaanisha kumsifu JK.
Una akili za kitoto kama jk
Hahhhhahhhha watanisakajeee duu mi nimesifiaa na kwa vile anapenda sifaa nadhani atafurahiaaaa
Tulipovamiwa na Idd Amin mwaka 78 Nyerere alipeleka madawati mangapi kupigana na jeshi la Uganda!?Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu