Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

Umeandika mengi sana asilimia 90% ni uongo.Usifikiri komando lazima awe mwanajeshi.Kuna mtu anaweza kuwa komando lakini jeshi la magereza au polisi au pengine hata raia.Komandoo anaweza kuwa private lakini hana cheo chochote.Au akawa hata ofisa mkubwa.Ukomandoo ndani ya jeshi ni tawi moja wapo kama matawi mengine mfano ma dr na ma engineer.Ila labda kwa upande wa Jeshi komandoo katika medani zake wanafundishwa kutumia mikono zaidi kuliko silaha.
Kumbuka ukomandoo sio cheo ni fani kama fani zingine ndani ya jeshi .Magereza wapo makomandoo walio bobea.Unakumbuka wale waliotaka kupindua serikali mwaka 1982 mmoja wapo alikuwa anaitwa Tamim akauwawa pale kinondoni mkwajuni walipotupiana risasi na mtu flani jina namuhifadhi basi alikuwa ni raia wa kawaida tu japo alisomea ukomandoo alikuwa anaitwa Kamando Tamim hata kumpiga risasi walipata tabu sana.
 
Maelezo mengi na marefu halafu yote ni Pumba tupu tu. Kwani ukibakia tu kuwa Msomaji na ukawaacha wanaojua Wachangie nawe Ujifunze utapungukiwa nini?
 
 
Commando anakuzwa sana
Wakawaida sana Jana mmoja alikuja kuosha gari carwash anataka kuoshewa kwa buku 2 anasema gari sio lake la wananchi alikuwa katika jokes tu baadae akatununulia na ndizi tukala akasepa zake
 
wapo makomandoo ila sio hawa wetu wa sasa iv,wamenenepeana....shoo zao wanavunja tofari lenye ratio ya mchanga mwingi sement kidogo pale taifa...wanapinda nondo ya milimita nne wanajiona wamepinda chuma..
Jana nimemuona kijana kwenye 34 ivi uniform mpya maroon ballet na bawa na sigara zake hana kitambi wala hajajazia kama harmonize
 
Yote ni kweli ,apa nilipo nina miaka 54 wamenambia mwakani ntakunywa sumu vikombe 30 ili nife japo hyo sumu ukimpa mtu mzima kijiko ki1 amelala yoooo
 
Kitu pekee umekaribia kupatia kwa mbali,ni kweli macomando hureport kambi ya jeshi iliyo karibu lakini hawatafutwi kujuliwa halli na mtu ni wana report tu kwa sababu za ki usalama.
Police pia hu report kwa sababu sometimes husafiri na bunduki mfano smg kwenye gari
 
Shikamoo komandoo. Mi sijambo pamoja na mke wangu wote familia nzma tunakuamkia shikamoo baba mzazi.
 
Yaani ungejua hali kwa ground ilivyo.. anyway, somethings are better when are unknown to mass
 
Ukitaka kuwajua vema nenda morogoro sangasanga ngerengere na kizuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…