NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Umeandika mengi sana asilimia 90% ni uongo.Usifikiri komando lazima awe mwanajeshi.Kuna mtu anaweza kuwa komando lakini jeshi la magereza au polisi au pengine hata raia.Komandoo anaweza kuwa private lakini hana cheo chochote.Au akawa hata ofisa mkubwa.Ukomandoo ndani ya jeshi ni tawi moja wapo kama matawi mengine mfano ma dr na ma engineer.Ila labda kwa upande wa Jeshi komandoo katika medani zake wanafundishwa kutumia mikono zaidi kuliko silaha.
Kumbuka ukomandoo sio cheo ni fani kama fani zingine ndani ya jeshi .Magereza wapo makomandoo walio bobea.Unakumbuka wale waliotaka kupindua serikali mwaka 1982 mmoja wapo alikuwa anaitwa Tamim akauwawa pale kinondoni mkwajuni walipotupiana risasi na mtu flani jina namuhifadhi basi alikuwa ni raia wa kawaida tu japo alisomea ukomandoo alikuwa anaitwa Kamando Tamim hata kumpiga risasi walipata tabu sana.
Kumbuka ukomandoo sio cheo ni fani kama fani zingine ndani ya jeshi .Magereza wapo makomandoo walio bobea.Unakumbuka wale waliotaka kupindua serikali mwaka 1982 mmoja wapo alikuwa anaitwa Tamim akauwawa pale kinondoni mkwajuni walipotupiana risasi na mtu flani jina namuhifadhi basi alikuwa ni raia wa kawaida tu japo alisomea ukomandoo alikuwa anaitwa Kamando Tamim hata kumpiga risasi walipata tabu sana.