Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Sikuanza Mimi matusi, ila nimemaliza na hakurudia tena! usitegemee unitie kidole cha macho halafu nikutazame tu
 
Naingia kazini ndugu, tuwasiliane kesho mungu akipenda, g'day.
 
I don't regrets for what I said, you talk to me nicely then I will respond kindly, mtu anasema akampe pesa mama yangu au dada yangu wala hawausiki ktk biashara zangu unataka nimjibu nn? Nunua gari hata 100! Sehemu nyingine hainipunguzii kitu chochote, ustarabu ni kwa pande zote boss.

usingenyamaza ungepungukiwa nini? si lazima kujibu kila mtu. kitendo ulichofanya kutukana uwez pata wateja wastarabu pia usijibu kwa kujisikia sana.

harafu tunalalamika Tunaachwa nyuma kwenye EA community wakat lugha ya biashara ni F.

chunga sana lugha za matusi azisaidii
 
Kwa wale wanaotaka Magari mapya na yaliyotumika kutoka japan. Kwa bei nafuu bila usumbufu, sasa nimefungua ofisi ilala karibu na post office, unaweza wasiliana na baba yangu mzazi kwa taratibu zote, au Mimi mwenyewe kwa namba +818044441220 au email yangu mgnjmoses@live.co.uk, ila sipo hapa sana kwa ajili ya Maswali ya hapa na pale, napatikana whatsapp kwa namba hiyo tajwa, asanteni.

me ningekushaur ukajifunze busnes skils kwanza then ndo uanze ku promote biashara yako bro.
 
We have a to draw a line somewhere in life, you can't abuse my mother and expect me not to retaliate! Simply because of customer care! Hell no, I'm here coz of her.abusing her you make my adrenaline going insane, I wish I could go and choke your throat.
 
We have a to draw a line somewhere in life, you can't abuse my mother and expect me not to retaliate! Simply because of customer care! Hell no, I'm here coz of her.abusing her you make my adrenaline going insane, I wish I could go and choke your throat.

ukichagua kazi ya biashara lazima vitu vingine vya kuuz upotezee. mtu akikutukana upungukiw na chochote lakin ukijibu kwa matusi. sisi wengine wastarabu tutashindwa fanya biashara na wewe
 
We have a to draw a line somewhere in life, you can't abuse my mother and expect me not to retaliate! Simply because of customer care! Hell no, I'm here coz of her.abusing her you make my adrenaline going insane, I wish I could go and choke your throat.

Wadau, this gentleman is genuine! I have made a risk assessment (RA) of him kwa kutumia viwango vya juu vya kiintelijnsia so count on me you can do business with him. As for the language, that is something he can polish along the way. Ni utoto tu na caliber za kibongo that are hard to do away with abruptly unless someone makes deliberate efforts to learn good things and unlearn the bad ones. With a correct mindset hayo anayoona ni matusi ange ya address vizuri tu na comments zingine zingekuja vizuri; after all his selling card (the original text) was an invitation to unserious stuff!
 
Nitajitahidi boss wangu ila issue ya mama ni nzito sana, angenitukana Mimi au kushambulia biashara yangu wala nisingejari, I do accept challenge especially when it comes to business but to go after my mother it's hard to swallow.
 
I don't regrets for what I said, you talk to me nicely then I will respond kindly, mtu anasema akampe pesa mama yangu au dada yangu wala hawausiki ktk biashara zangu unataka nimjibu nn? Nunua gari hata 100! Sehemu nyingine hainipunguzii kitu chochote, ustarabu ni kwa pande zote boss.
Nakushauri achana na biashara mkuu maana huna lugha ya biashara.Ni bora uendelee na kibarua chako cha kuajiliwa,unless rudi shule kajifunze kuwasiliana na wateja wako kwanza.
 
Samahani lakini mjomba....hivi ikatokea umekutana na kichaa njiani,akakuvua nguo,akakuacha uchi,alafu akakimbia,je,utamkimbiza?
Sio lazima kumjibu kila anayekuuliza kitu,wakati mwingine ni afadhali kukaa kimya...vinginevyo,ni sawa na kumkimbiza kichaa...
 
Asante boss, I won't keep this argument any longer.
 
Najua watu Kama nyinyi hamkosekani! Sipo hapa muda wote kwasababu nipo busy sana kwa hiyo siwezi jibu maswali wakati wote, nimesema ofisi ipo ilala kwa mawasiliano zaidi mpigie simu baba yangu 07484472008 or 0712272008 au unaweza wasiliana na Mimi mwenyewe namba nimeshataja! Sasa sijui shida ipo wapi!

Customer care yako ni sifuri, yaani mtu atume USD 15000 kwako halafu gari lichelewe au asilione, na kauli yako ya mwanzo unadai hutaki maswali mengi sasa hapo humpati mtu. After all mbona kuagiza gari siku hizi simpo sana wala haihitaji kujuana na mtu
 
Back
Top Bottom