Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Nimesema ofisi ipo ilala amana yupo baba pale na Mdogo wangu wa kiume pia. Taratibu zote za utumaji pesa na Mikataba zitafanyika hapo ofisini, ukitaka kununua gari Tradecarview ni hiyari yako ila ni utapeli mtupu huko, nitafungua website soon,kuna time zone pia Japan tupo mbele masaa 6, unaweza nicheki wakati mwingine nimelala na pia Nina kazi nyingi, ukinicheki kwa simu ni rahisi kwangu,wanataka Magari serious wengi wameshafanya mawasiliano nami na Mzee pia. Tuache porojo ndugu.
 
Nimesema ofisi ipo ilala amana yupo baba pale na Mdogo wangu wa kiume pia. Taratibu zote za utumaji pesa na Mikataba zitafanyika hapo ofisini, ukitaka kununua gari Tradecarview ni hiyari yako ila ni utapeli mtupu huko, nitafungua website soon,kuna time zone pia Japan tupo mbele masaa 6, unaweza nicheki wakati mwingine nimelala na pia Nina kazi nyingi, ukinicheki kwa simu ni rahisi kwangu,wanataka Magari serious wengi wameshafanya mawasiliano nami na Mzee pia. Tuache porojo ndugu.

Mkuu tradecarview si matapeli nimeagiza magari kwao three times hawajanitapeli wala sjawai skia mtu katapeliwa nao
 
Basi itakuwa husomi habari za nyumbani kuna watanzania wengi wametapeliwa na tradecarview nafikiri unafahamu tradecarview sio kampuni ila ni website ambayo mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha magari hapa Japan anaweza kujiunga nao na kutangaza gari anazouza! Sio kampuni moja ni nyingi, wamejaa wapakistan na wahindi, wapo wajapan wachache pia, ila nalipa hongera kuweza kununua magari kwa watu usio wajua, ila inakuwa ngumu kununua kwa mtanzania mwenzio tena mwenye ofisi tanzania na dhamana kubwa!
 
Kasomee customer care

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Njoo nikuajiri wewe Mimi sina muda.
 
Basi itakuwa husomi habari za nyumbani kuna watanzania wengi wametapeliwa na tradecarview nafikiri unafahamu tradecarview sio kampuni ila ni website ambayo mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha magari hapa Japan anaweza kujiunga nao na kutangaza gari anazouza! Sio kampuni moja ni nyingi, wamejaa wapakistan na wahindi, wapo wajapan wachache pia, ila nalipa hongera kuweza kununua magari kwa watu usio wajua, ila inakuwa ngumu kununua kwa mtanzania mwenzio tena mwenye ofisi tanzania na dhamana kubwa!

Kuna jamaa mmoja nae alikujaga kama wewe akafungua kampuni nakumbuka inaitwa delhama draders ni mbongo pia anaitwa david yuko japan pia uyu jamaa aliwaliza wabongo wenzake sana mikoa ya arusha moshi na pia hapa dar watu walimwamini sababu ni mtanzania pia kama wewe kama umeishi japan miaka mingi lazma utakuwa unamjua uyo jamaa nakumbuka nilimwagiziaga gari aliniagiza nikalipe ilala pia kwa baba yake ana maduka ya spare nashukuru ungu nlipata gari langu ila wengi walilia sana na uyu jamaa sjui yupo wapi skuizi
 
Inawezekana ila Mimi simjui, naishi hapa kitambo ila nafanya kazi edf, nimefungua kampuni ya usafirishaji magari kujiongezea kipato kwani watu wanaohitaji msaada kutoka kwangu ni wengi sana na taratibu za upokeaji pesa kwenye account yangu kutoka nje ya Japan hauniruhusu kupokea kiasi kikubwa cha pesa na makato ya kodi ndio maana nimeshauriwa nifungue kampuni.
 
Hayahaya....... mi tayari nna gari bado naruhusiwa kuagiza jengine?
Sokwe nishauri
 
Nitakushauri nini ndugu yangu! Wewe ndio mwenye kujua Kama unahitaji au la, sio Mimi.
 
07484472008? This number is wrong? huwezi patikana.
Najua watu Kama nyinyi hamkosekani! Sipo hapa muda wote kwasababu nipo busy sana kwa hiyo siwezi jibu maswali wakati wote, nimesema ofisi ipo ilala kwa mawasiliano zaidi mpigie simu baba yangu 07484472008 or 0712272008 au unaweza wasiliana na Mimi mwenyewe namba nimeshataja! Sasa sijui shida ipo wapi!
 
Ni 0784472008 samahani boss.
 
Mpe mama yako achambie k... Yake! Au unaonaje? Au mku... Unakuwasha unataka bwana.
Kwa majibu ya aina hii utafukuza wateja ndugu yangu. Achana na wanaokukebehi wewe fanya biashara. Ukianza kujibizana na wachokozi utapoteza muelekeo na watu watakudharau kwa majibu ya aina hii.
 
Asante kwa ushauri sister.
 
nina milioni tatu nitapata gari gani sitaki vitz lakini
 
Back
Top Bottom