Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Customer care yako ni sifuri, yaani mtu atume USD 15000 kwako halafu gari lichelewe au asilione, na kauli yako ya mwanzo unadai hutaki maswali mengi sasa hapo humpati mtu. After all mbona kuagiza gari siku hizi simpo sana wala haihitaji kujuana na mtu

si ndio apo sasa yan nitoe UD 50,000 niagize gari harafu nikatazwe kuuliza maswali
 
Mpe mama yako achambie k... Yake! Au unaonaje? Au mku... Unakuwasha unataka bwana.
sokwe
===>Kaka utauza gari kweli style hii,wewe wajibu vizuri tu,ndio huduma kwa wateja hiyo,hata vichaa pia huuliza bei ya vitu.
 
Last edited by a moderator:
Bahati mbaya smile bajaj Japan hakuna.
 
Nafikiri mnaikuza hii issue nimesema sipo hapa muda wote kwa hiyo unaweza kuuliza maswali nikashindwa kukujibu ni rahisi ukinicheki kwa simu, mbona nimebandika hii post watu wengi wana wasiliana na Mimi bila tabu.
 
Anayemtukana mama yangu nae ni mteja? Kazi ipo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1382169620.800063.jpg ImageUploadedByJamiiForums1382169702.154481.jpg ImageUploadedByJamiiForums1382169734.076514.jpg ImageUploadedByJamiiForums1382169841.095506.jpg
 
Wanaotaka gari hawana porojo, hizo ni order ndani ya siku 2! Tena hapa hapa jf.
 
Mkuu tradecarview si matapeli nimeagiza magari kwao three times hawajanitapeli wala sjawai skia mtu katapeliwa nao

Hata Mimi nina mwaka wa 6 sasa natumia tradecarview kiagiza gari Japan, na sijawahi tapeliwa. Ila nimesikia taarifa ambazo sijazithibitisha kuna baadhi ya watz wamewahi tapeliwa
 
Tradecarview sio kampuni ya kusafirisha magari isipokuwa ni website ambayo inatumika kutangaza biashara za wauzaji magari hapa Japan, kuna wapakistan, wahindi, warusi, wajapan sio wengi na mataifa mengine, majority ni matapeli nenda wizara ya mambo ya ndani bongo utapata taarifa za kutosha, Kama ulishawahi kununua huko ni kwasababu dealer wako mwaminifu.
 
Unaweza kupima akili na uwezo wa mtu kufikiri kwa kusikia yale anayotamka kinywani pake au anayoandika. Think and proof read whatever u write.
 
Ninapenda kampuni za wazawa nitafanya mawasiliano na ww au baba yako. Naomba ufanye mambo mazuri ili wanaokupinga wajifunze
 
Wala haina tabu boss wangu, najua wanaofanya biashara na Mimi watarudi hapa kwa ushahidi, sina deni na mtu sidaiwi popote ndio maana contact zangu zipo wazi.
 
Mkuu biashara sio matusi,nlikua nafatlia thread yako,ila nlipoona ulipotukana tuu,nkajua wewe bness huiwez kabisa,kwa trend hii ni ngumu kujenga imani kwa Mtu anayetaka kufanya bness na wewe,unamtukana Mtu humjui,just mwache aendee na issue zake,wewe komaa na bness,ni hayo tuu wadau
 
Back
Top Bottom