Mpe mama yako achambie k... Yake! Au unaonaje? Au mku... Unakuwasha unataka bwana.
Nimeshatulia best, but sometime I'm tired of being mr nice guy.
Tradecarview sio kampuni ya kusafirisha magari isipokuwa ni website ambayo inatumika kutangaza biashara za wauzaji magari hapa Japan, kuna wapakistan, wahindi, warusi, wajapan sio wengi na mataifa mengine, majority ni matapeli nenda wizara ya mambo ya ndani bongo utapata taarifa za kutosha, Kama ulishawahi kununua huko ni kwasababu dealer wako mwaminifu.
I got no time for your nonsense bro, u got the right to think whatever you want, at the end of the day serious people do contact me.
Nimejiunga huko pia tafuta yusa international boss, I'm still workin on my website.
Nilikuwa intrested tangu mwanzo kufuatilia,ulinipa ushawishi ila hiyo logo naulivyokuwa unaiponda,sasa sijui imefikaje kwako,ume copy na ku paste alafu sold out ukacopy mpaka logo. We nae ni walewale
Wewe sasa unataka akutukane.. subiri matusi..
Wewe sasa unataka akutukane.. subiri matusi..
Basi itakuwa husomi habari za nyumbani kuna watanzania wengi wametapeliwa na tradecarview nafikiri unafahamu tradecarview sio kampuni ila ni website ambayo mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha magari hapa Japan anaweza kujiunga nao na kutangaza gari anazouza! Sio kampuni moja ni nyingi, wamejaa wapakistan na wahindi, wapo wajapan wachache pia, ila nalipa hongera kuweza kununua magari kwa watu usio wajua, ila inakuwa ngumu kununua kwa mtanzania mwenzio tena mwenye ofisi tanzania na dhamana kubwa!