Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa wale wanaotaka Magari Japan

Kwa majibu ya aina hii utafukuza wateja ndugu yangu. Achana na wanaokukebehi wewe fanya biashara. Ukianza kujibizana na wachokozi utapoteza muelekeo na watu watakudharau kwa majibu ya aina hii.
best umeagiza nini?? range au hammer?
 
Natamani nikupe ila siwezi best.
 
Hapana watu wengine ni wapuuzi sana, they got nothing, they can't achieve anything in their lifetime! Wanachofanya ni kuzungumza upuuzi,if you talk trash then expect trash respond!! U get what u asked.
 
Hapana watu wengine ni wapuuzi sana, they got nothing, they can't achieve anything in their lifetime! Wanachofanya ni kuzungumza upuuzi,if you talk trash then expect trash respond!! U get what u asked.
mbona unapenda ugomvi? tutapata magari kweli...tulia bwana
 
Nimeshatulia best, but sometime I'm tired of being mr nice guy.
 
nimeamin shule ni muhimu sana. wewe mdau ujasoma marketing ata customer care ujui. usitegemee kupata wateja wastarabu jifunze kuongea vizuri na kila mtu.

nilitaka niwaagizie gari 5 ndugu zangu ila siwez tena fanya biashara na wewe sababu ya matusi yako .
sipendagi kusikia matusi
 
Najua watu Kama nyinyi hamkosekani! Sipo hapa muda wote kwasababu nipo busy sana kwa hiyo siwezi jibu maswali wakati wote, nimesema ofisi ipo ilala kwa mawasiliano zaidi mpigie simu baba yangu 07484472008 or 0712272008 au unaweza wasiliana na Mimi mwenyewe namba nimeshataja! Sasa sijui shida ipo wapi!
Mkuu hata lugha unayo tumia kuwajibu wenzako inakosa staha kidogo, kwani ukiwajibu vizuri utapoteza nini!
 
nimeamin shule ni muhimu sana. wewe mdau ujasoma marketing ata customer care ujui. usitegemee kupata wateja wastarabu jifunze kuongea vizuri na kila mtu.nilitaka niwaagizie gari 5 ndugu zangu ila siwez tena fanya biashara na wewe sababu ya matusi yako .sipendagi kusikia matusi
Si ndio hapo mkuu!! Ukilinganisha Watanzania na majirani zetu specifically Kenya ndio utajuwa kwamba learning curve katika nyanja ya biashara hipo at the bottom of the ladder, hatujui kwamba mteja ni mfalme hupashwi kumjibu kimkato mkato na kuonyesha jeuri zisizo na tija.
 
I don't regrets for what I said, you talk to me nicely then I will respond kindly, mtu anasema akampe pesa mama yangu au dada yangu wala hawausiki ktk biashara zangu unataka nimjibu nn? Nunua gari hata 100! Sehemu nyingine hainipunguzii kitu chochote, ustarabu ni kwa pande zote boss.
 
Zipo boss wangu nyingi tu.
 
kuhusu matusi msameheni jamani si amezaliwa Ilala? na Ilala ni nyumbani kwa watu wa matusi?:tape:
 
Back
Top Bottom