Kwa wale wadada wa ofisini, kanisani, msikitini na mitoko mbalimbali, njooni niwajuze chimbo bei rahisi na lenye vitu vikali

MaylaGladson

Member
Jan 18, 2020
17
22
Hello,

Nauza magauni mazuri sana ya kwenda kazini,ofisini na kwenye mitoko mbalimbali.kwa Bei ya Tsh 10,000-20,000.

Lakini Pia ninauza Official skirt na pant kwa Bei ya sh 6,000-15,000.

Lakini pia kwa wale wa msikitini na wapenda vaa stara kuna Mabaibui/Abaya mazuri mno kwa Tsh 15,000-20,000.

Haya karibuni sana whatsap kwa number ‪+255 718 770 746‬

Na kawaida kwa number 0742699355.

Wakaka mnakaribishwa pia kuwanunulia wake au wapenzi wenu

NINAPATIKANA DAR ES SALAAM,na ninatuma mikoani kote Tanzania kwa uaminifu mno.

Ahsanteni sana.

4ED80BE3-1288-47AD-B060-CE58BD72E927.jpeg
5F479106-370F-425B-9239-DF0544D1D78D.jpeg
9B3A171D-8AD0-4537-B800-FB9F232AECEA.jpeg
FCDD4FC2-A862-4BF3-BAF9-79F4AD86A47A.jpeg
82A76F18-EE3A-4B68-ADE6-1D4E0C6DE066.jpeg
98B02E98-BB52-4447-AB00-512754402B7B.jpeg
A899D7D4-5993-4D86-A01A-8D1E9FA51839.jpeg
D1A5743D-A4A8-4930-8C87-4D9389B015FE.jpeg
E4C3EB3B-9970-471E-88B8-0BEA0EC69545.jpeg
6575EA95-6C54-4B0E-9E27-541894EE62F2.jpeg
125C1D4D-E7AA-4113-834B-AFA4913198EF.jpeg
08914F1C-E619-4B4A-8C7D-43D64EF24016.jpeg
413831E6-5315-4371-AED2-6093E98C3374.jpeg
A0B51AA4-E2C9-4F6E-BCBB-719207179EAF.jpeg
 
Wasap ndio siji... Inabidi post zako za huku ndio zinihamasishe kuja wasap
Basi sawa sio lazima sana,Labda kwa kukutaarifu Mimi sipost Jamii Forum sana na ni kwasababu ni mpaka niingie Chrome ndio niingie,sijajua km kuna app mnijuze..maana nashindwa kua active huku.
 
Back
Top Bottom