The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 217
Binafsi nmechepuka mara 2, Ilkua hv kuna dada mmoja alkua rafiki wangu wa karibu sana na tulikua tunafahamiana vema.
Alkua na mchumba ake lkn alkua masomoni UK yapata mwaka na miezi kadhaa kipindi hicho alipigia cmu akiomba nipitie hm kwake nikitoka kazin, nilpofika nae alitoka kuoga, tukiendlea na stori akawa ananionyesha video za ngono kwenye cmu yake huku akilalamika anapata shida sana akiziona kwa kua mwenzie hayupo karibu, akaniuliza "hv nikiwa na shida utashindwa kunisaidia?" Nkamjibu km ipo ndani uwezo wangu namsaidia akaniambia ana uhakika naweza msaidia na hana haja ya kuniomba kwa kua urafiki wetu ni wa karibu mno. Mara akanifuata akanikumbatia huku kanibana kiasi huku akisema hawezi kupata shida wkt nipo.
Kilichoendelea najua mwenyewe,
Hiyo ndio sababu yangu ya kwanza.
Kama kila mtu akichepuka kwa lengo la kutoa msaada zaidi ya nusu ya wanaume ulimwenguni watakuwa wachepukaji. Hii imekaa kihuruma zaidi. Ya pili ilikuwaje Samboko?