Kwa wale wachepukaji tu

Kwa wale wachepukaji tu

Tamaa Za Kimwili Ndo Chanzo Kikubwa Cha Michepuko, Hakuna Sababu Ya Msing Katk Hiyo Dhambi, Ningeandika Meng Ili Uwe Ushuhuda Lakin Wife Ananisubiri B,room, Mybe 2moro
 
Tamaa Za Kimwili Ndo Chanzo Kikubwa Cha Michepuko, Hakuna Sababu Ya Msing Katk Hiyo Dhambi, Ningeandika Meng Ili Uwe Ushuhuda Lakin Wife Ananisubiri B,room, Mybe 2moro
Mkuu hatutafuti sababu zinazofanya watu wachepuke bali zilizokufanya wewe uchepuke, ndio mada yetu hy
 
İnawezekana unaweza ukawa unasema kweli. Lakini mimi kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka kumi ya uchepukaji uliotukuka, sijawahi kumsema mke wangu vibaya. kosa kubwa atakalofanya mchepukaji mwenzangu ni kuuliza habari za mke wangu. Mara nyingi anayemuulizia ndo unakuwa mwanzo wa talaka.

Tumekuja kuchepuka kivyetu, mke wangu ataingiaje hapo?

nawatakieni michepuko myema isiyo na mafumanizi. Chepukeni responsibly, ukimwi upo, hauna tiba na unaua.

Wasalaam,

ODM.
Mwenyekiti wa wachepukaji,
Bazazi Street,
Dsm.

NB... İbilisi asaidie hii post isisomwe na Khantwe

çc Kaizer, Mentor, Vin Diesel, KakaKiiza, Nicas Mtei kwa taarifa na kumbukumbu za chama.

Usijali kipenzi changu Asprin hata sijaona....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom