Ukweli uchepukaji si mzuri hata kidogo pamoja na baadhi hupenda kuuhalalisha, uchepukaji husababishwa na emotional infidelity na attraction infidelity ambavyo husababisha watu kucheat, tofauti na wanawake wanaume hukubali kuwa ni tamaa ilisababisha lakini wanawake hupenda kujustify infidelity kwa kusema ooo jamaa hanirizishi dakika moja anakojoa dushe yake ndogo, hainifikishi, hajui ku-do. Mwanaume mmoja Marekani aliwahi kusema nikiwa na mahusiano mazuri na mpenzi wangu sifa zote hupewa najua ku-do, mashine yangu nzuri lakini tukiachana naambiwa sijui ku-do na nakojoa baada ya nusu dakika kiasi kwamba sijielewi. Swali linakuja iwapo hamriishi, dushe ndogo, anakojoa baada ya nusu dakika how they managed to keep relationship at first place? Jibu ni uzushi kuhalalisha kucheat
Emotional infidelity na attraction infidelity zipo hutokea makazini, vyuoni, makutanoni, sehemu za starehe dawa ni kuziepuka pia mazingira ya kuruhusu ushawishi na hii ya emotional infidelity wanaume wanaijua sana kuitumia unahakikisha mwanamke anakuzoea unamfanyia mambo ambayo mmewe unajua hafanyi kwasababu na yeye hafanyi kwa mkewe mfano kumsifia kila mara, kumpa attention, maongezi, kujadili chochote bila kuhodhi majadiliano, kutomcriticize kwa lolote hata kama ni baya, kumwambia maneno mazuri mfano anapendeza, ananukia, mcheshi, ana hekima, ana akili maneno ambayo ni kinyume kule kwake iwapo anagombana na mmewe au mpenzi wake na wanawake nao hukubaliana na kuonawaambiwacho ni kweli wakati inaweza kuwa ghriba ya kupatwa. Utakuta mwanamke naye anasifia ooo Karizamani wee mwanaume poa na mme wangu angekuwa kama wewe ningeishi kwa furaha wakati huyo huyo Karizamani anayesifiwa ananyanyasa mkewe nyumbani. Tuwe waangalifu na mitego maana wanadamu tumepewa uwezo wa kuepuka chochote sababu Mungu alitupa self consciousness, self discipline, self respect, self awareness and self determination