Kwa wale wachepukaji tu

Kwa wale wachepukaji tu

Ukweli uchepukaji si mzuri hata kidogo pamoja na baadhi hupenda kuuhalalisha, uchepukaji husababishwa na emotional infidelity na attraction infidelity ambavyo husababisha watu kucheat, tofauti na wanawake wanaume hukubali kuwa ni tamaa ilisababisha lakini wanawake hupenda kujustify infidelity kwa kusema ooo jamaa hanirizishi dakika moja anakojoa dushe yake ndogo, hainifikishi, hajui ku-do. Mwanaume mmoja Marekani aliwahi kusema nikiwa na mahusiano mazuri na mpenzi wangu sifa zote hupewa najua ku-do, mashine yangu nzuri lakini tukiachana naambiwa sijui ku-do na nakojoa baada ya nusu dakika kiasi kwamba sijielewi. Swali linakuja iwapo hamriishi, dushe ndogo, anakojoa baada ya nusu dakika how they managed to keep relationship at first place? Jibu ni uzushi kuhalalisha kucheat

Emotional infidelity na attraction infidelity zipo hutokea makazini, vyuoni, makutanoni, sehemu za starehe dawa ni kuziepuka pia mazingira ya kuruhusu ushawishi na hii ya emotional infidelity wanaume wanaijua sana kuitumia unahakikisha mwanamke anakuzoea unamfanyia mambo ambayo mmewe unajua hafanyi kwasababu na yeye hafanyi kwa mkewe mfano kumsifia kila mara, kumpa attention, maongezi, kujadili chochote bila kuhodhi majadiliano, kutomcriticize kwa lolote hata kama ni baya, kumwambia maneno mazuri mfano anapendeza, ananukia, mcheshi, ana hekima, ana akili maneno ambayo ni kinyume kule kwake iwapo anagombana na mmewe au mpenzi wake na wanawake nao hukubaliana na kuonawaambiwacho ni kweli wakati inaweza kuwa ghriba ya kupatwa. Utakuta mwanamke naye anasifia ooo Karizamani wee mwanaume poa na mme wangu angekuwa kama wewe ningeishi kwa furaha wakati huyo huyo Karizamani anayesifiwa ananyanyasa mkewe nyumbani. Tuwe waangalifu na mitego maana wanadamu tumepewa uwezo wa kuepuka chochote sababu Mungu alitupa self consciousness, self discipline, self respect, self awareness and self determination

Meseji sent.
 
Ukweli uchepukaji si mzuri hata kidogo pamoja na baadhi hupenda kuuhalalisha, uchepukaji husababishwa na emotional infidelity na attraction infidelity ambavyo husababisha watu kucheat, tofauti na wanawake wanaume hukubali kuwa ni tamaa ilisababisha lakini wanawake hupenda kujustify infidelity kwa kusema ooo jamaa hanirizishi dakika moja anakojoa dushe yake ndogo, hainifikishi, hajui ku-do. Mwanaume mmoja Marekani aliwahi kusema nikiwa na mahusiano mazuri na mpenzi wangu sifa zote hupewa najua ku-do, mashine yangu nzuri lakini tukiachana naambiwa sijui ku-do na nakojoa baada ya nusu dakika kiasi kwamba sijielewi. Swali linakuja iwapo hamriishi, dushe ndogo, anakojoa baada ya nusu dakika how they managed to keep relationship at first place? Jibu ni uzushi kuhalalisha kucheat

Emotional infidelity na attraction infidelity zipo hutokea makazini, vyuoni, makutanoni, sehemu za starehe dawa ni kuziepuka pia mazingira ya kuruhusu ushawishi na hii ya emotional infidelity wanaume wanaijua sana kuitumia unahakikisha mwanamke anakuzoea unamfanyia mambo ambayo mmewe unajua hafanyi kwasababu na yeye hafanyi kwa mkewe mfano kumsifia kila mara, kumpa attention, maongezi, kujadili chochote bila kuhodhi majadiliano, kutomcriticize kwa lolote hata kama ni baya, kumwambia maneno mazuri mfano anapendeza, ananukia, mcheshi, ana hekima, ana akili maneno ambayo ni kinyume kule kwake iwapo anagombana na mmewe au mpenzi wake na wanawake nao hukubaliana na kuonawaambiwacho ni kweli wakati inaweza kuwa ghriba ya kupatwa. Utakuta mwanamke naye anasifia ooo Karizamani wee mwanaume poa na mme wangu angekuwa kama wewe ningeishi kwa furaha wakati huyo huyo Karizamani anayesifiwa ananyanyasa mkewe nyumbani. Tuwe waangalifu na mitego maana wanadamu tumepewa uwezo wa kuepuka chochote sababu Mungu alitupa self consciousness, self discipline, self respect, self awareness and self determination

huko ndo kutongoza kwenye dunia hii. umesahau kujichekesha meno yote 30nanje mbili bila 7bu za msingi
 
Hamkurud na tope kweli??
 

Attachments

  • 1401640191722.jpg
    1401640191722.jpg
    46.8 KB · Views: 250
"Kila mwanamke ana 'kilio'(sauti wakati wa majamboz) chake"
 
Ubinafsi, ujinga na ufala hakuna jipya. Kwa ufupi hakuna sababu yoyote ya kuchepuka kwa wanandoa wanaoelewa maana ya kwanini wapo kwenye ndoa. Ntarudi baadaye...
 
Huwa tunatafuta HIV kwa nguv zote. Unazani tunaakil bas ndugu? Wachepuka hatuna la zaid ni kujitoa muhanga tuu ndugu tuone kama tutapata HIV

Umenena mkuu, yaani huwa nakereka sana kuona jamaa yangu aliyeoa akichepuka. Ndo hivo tena kwa wakati huo anajiona mjanja kumbe ni ukibhose tu aah...
 
Ubinafsi, ujinga na ufala hakuna jipya. Kwa ufupi hakuna sababu yoyote ya kuchepuka kwa wanandoa wanaoelewa maana ya kwanini wapo kwenye ndoa. Ntarudi baadaye...

Sababu zipo mkuu ndio mana watu wanachepuka, kutoridhika, ukorofi wa mmoja wao, wivu uliopindukia, tamaa, pesa, ugomvi, ulevi, uaminifu nk.
Hizo zote ni sababu zinazoweza kufanya wapenz wakasalitiana.
 
Mmmh, wife akinasa ID ya JF patakuwa hapatoshi. By the way nadhani moja kati ya sababu ni misunderstanding. Mara nyingi kama kuna kutoelewana na kuwa na stress za mapenzi, kununiana n.k, wazo la karibu kabisa ni kutafuta faraja somewhere else...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Huwa tunatafuta HIV kwa nguv zote. Unazani tunaakil bas ndugu? Wachepuka hatuna la zaid ni kujitoa muhanga tuu ndugu tuone kama tutapata HIV

Halafu ukipata hiv unakimbilia kikombe cha jero kwa babu semunge!
 
Ukweli uchepukaji si mzuri hata kidogo pamoja na baadhi hupenda kuuhalalisha, uchepukaji husababishwa na emotional infidelity na attraction infidelity ambavyo husababisha watu kucheat, tofauti na wanawake wanaume hukubali kuwa ni tamaa ilisababisha lakini wanawake hupenda kujustify infidelity kwa kusema ooo jamaa hanirizishi dakika moja anakojoa dushe yake ndogo, hainifikishi, hajui ku-do. Mwanaume mmoja Marekani aliwahi kusema nikiwa na mahusiano mazuri na mpenzi wangu sifa zote hupewa najua ku-do, mashine yangu nzuri lakini tukiachana naambiwa sijui ku-do na nakojoa baada ya nusu dakika kiasi kwamba sijielewi. Swali linakuja iwapo hamriishi, dushe ndogo, anakojoa baada ya nusu dakika how they managed to keep relationship at first place? Jibu ni uzushi kuhalalisha kucheat

Emotional infidelity na attraction infidelity zipo hutokea makazini, vyuoni, makutanoni, sehemu za starehe dawa ni kuziepuka pia mazingira ya kuruhusu ushawishi na hii ya emotional infidelity wanaume wanaijua sana kuitumia unahakikisha mwanamke anakuzoea unamfanyia mambo ambayo mmewe unajua hafanyi kwasababu na yeye hafanyi kwa mkewe mfano kumsifia kila mara, kumpa attention, maongezi, kujadili chochote bila kuhodhi majadiliano, kutomcriticize kwa lolote hata kama ni baya, kumwambia maneno mazuri mfano anapendeza, ananukia, mcheshi, ana hekima, ana akili maneno ambayo ni kinyume kule kwake iwapo anagombana na mmewe au mpenzi wake na wanawake nao hukubaliana na kuonawaambiwacho ni kweli wakati inaweza kuwa ghriba ya kupatwa. Utakuta mwanamke naye anasifia ooo Karizamani wee mwanaume poa na mme wangu angekuwa kama wewe ningeishi kwa furaha wakati huyo huyo Karizamani anayesifiwa ananyanyasa mkewe nyumbani. Tuwe waangalifu na mitego maana wanadamu tumepewa uwezo wa kuepuka chochote sababu Mungu alitupa self consciousness, self discipline, self respect, self awareness and self determination

Well said mkuu bt ume base sana kwa wanawake ningetamani kuonja upande wa wanaume pia.
 
Back
Top Bottom