Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

nimekuchunia.....nataka ufurahie ujio wake then tutakuwa kama zamani....:juggle:
Hivi ameishakuja kukusalimia na kukuletea zawadi baada ya wewe kuhakikisha kuwa mimi situmiki nabakia kuwa original muda wote ambao hakuwepo
 
mimi naona mlio wa gari huenda ukaashiria hitilafu fulan iliyopo kwenye injini ukiimanisha marekebisho yanahitaji....hivyo kama unalipenda gari lako chukua tahadhari mapema.japokuwa kuna magari mengine yametengenezwa kuwa na milio mikubwa tena ya kukera lakin kwa vile ndivyo lilivyokusudiwa inalazimu kuvumilia kwa wale wasiopenda milio ya ajabu ajabu. mengine ni kuzidishwa kwa uzito na pia inawezekana mmiliki wa gari ndie alieamua kubadilisha mfumo mzima wa kelele za gari lake kuwa wa ajabu ajabu.Kama wewe ni abiria tuu na hutopenda kelele za magari yenye kelele zinakukera basi unashauri kuepeka kuyapanda magari yaho.lakin kama yanpita tuu barabari unaweza kuyapotezea maana hayakuhusu. ni hayo tuu mkuu nawakilisha
 
Hivi ameishakuja kukusalimia na kukuletea zawadi baada ya wewe kuhakikisha kuwa mimi situmiki nabakia kuwa original muda wote ambao hakuwepo

hata asante hajasema......wifi ninaye jamani....sijui labda kuna jambo kaona sikufanya kama alivyotarajia?:washing:
 
Sema wewe Mkuu Papa Diana
Hizi Degree za heshima haziangalii ulisomea Udaku au Usharobaro
Unatunukiwa tu kwa kazi yako/mchango wako hata kama ni nje na professional yako.
Kama wewe ni Engineer, lakin ukatoa mchango mkubwa au ukafanikiwa kusuhulisha mgogoro uliowashinda hata wanasiasa wangongwe duniani lazima utunukiwe.
Kama wewe ni daktari wa mifupa ya binadamu lakin ukagundua mbinu mpya ya kuwadhibiti waasi waliojaribu kuteka mkoa wa kagera, Jeshi litakutunuku

Mimi na swali kwako Charger, yaani wewe umeshaendesha magari ya aina zote hizo, mpaka ukawa na uzoefu wa kujua sauti za magari ya aina zote???!!!........:confused2:
ha ha haaaaaaa KEREN kujua historia ya nchi si lazima ufike nchi husika
 
Mhh nimekubali mkuu VINCE jamvi lina watu.
mimi naona mlio wa gari huenda ukaashiria hitilafu fulan iliyopo kwenye injini ukiimanisha marekebisho yanahitaji....hivyo kama unalipenda gari lako chukua tahadhari mapema.japokuwa kuna magari mengine yametengenezwa kuwa na milio mikubwa tena ya kukera lakin kwa vile ndivyo lilivyokusudiwa inalazimu kuvumilia kwa wale wasiopenda milio ya ajabu ajabu. mengine ni kuzidishwa kwa uzito na pia inawezekana mmiliki wa gari ndie alieamua kubadilisha mfumo mzima wa kelele za gari lake kuwa wa ajabu ajabu.Kama wewe ni abiria tuu na hutopenda kelele za magari yenye kelele zinakukera basi unashauri kuepeka kuyapanda magari yaho.lakin kama yanpita tuu barabari unaweza kuyapotezea maana hayakuhusu. ni hayo tuu mkuu nawakilisha
 
Kuna gari za mashindano, sijaziona kwa mtoa mada, au yeye huwa hapendi mashibdano ya magari? Kuna Formula 1 na bingwa wa muda mrefu alikuwa marehemu Mbarazil. Kuna za Rally, maarufu ile ya Paris - Dakar, hapo malori, ma 4x4 ya uhakika, mapikiki, yakishindana kwenye barabara za lami, mawe, michanga, matope, jangwani, mabondeni na milimani Duhh. Bila kusahau zile mbio maarufu East African Safari, zikipita pembezini ya kilimanjaro, mara hutokea Tanga kupitia Saadani mpka Dar. Tanzania Thousand, zilikuwa zile enzi za Sindimba kule kusini. Mie napenda magari ya mashindano, hususan 4x4 all terrain, vumbi, tope na. Kila kitu.
 
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.
 
Wewe lazima utakuwa Michael Schumacher mzee wa formula 1!!hivo vigari vya mashindano vinakuaga vidogo kwa umbo ila kelele sasa.......
Kuna gari za mashindano, sijaziona kwa mtoa mada, au yeye huwa hapendi mashibdano ya magari? Kuna Formula 1 na bingwa wa muda mrefu alikuwa marehemu Mbarazil. Kuna za Rally, maarufu ile ya Paris - Dakar, hapo malori, ma 4x4 ya uhakika, mapikiki, yakishindana kwenye barabara za lami, mawe, michanga, matope, jangwani, mabondeni na milimani Duhh. Bila kusahau zile mbio maarufu East African Safari, zikipita pembezini ya kilimanjaro, mara hutokea Tanga kupitia Saadani mpka Dar. Tanzania Thousand, zilikuwa zile enzi za Sindimba kule kusini. Mie napenda magari ya mashindano, hususan 4x4 all terrain, vumbi, tope na. Kila kitu.
 
Duh hukuomba user manual?Au vigari navyo vinakuaga na malaria?
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.
 
Milio ya wizi na mbwembwe ya magari, aifiki mbali. Round ya kwanza, ya pili gali linabaki silence
 
Kuna gari siku hizi hufanyiwa modifikeshenan hubandika kakitu ka kichina kwenye eksoz, hako kakitu kwanza kanavimbisha eksoz inakuwa kubwa halafu kana towa mlio wa kama mruzi, fyuuuuuuuUuuuuuuuuuuu, basi. Kanapochenji gea. Sema mie eksozi za modifikeshen ya kichina sipati nazo.
 
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.

kaka siku hizi kunamagari hayahitaji ufunguo......unabonyeza tu button..gari linaunguruma!! .......(hivi kaka umesha-renew lesini yako...maana zile za karatasi karibu zinasitishwa!!!)
 
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.

Mhhh!!..uliazima au uliiiba?????
 
kaka siku hizi kunamagari hayahitaji ufunguo......unabonyeza tu button..gari linaunguruma!! .......(hivi kaka umesha-renew lesini yako...maana zile za karatasi karibu zinasitishwa!!!)
tahazari mkuu pia kuna leseni feki siku hizi, unaweza ukamkuta jamaa ana leseni ya lori kumbe hata kuendesha baskeli hajui.
 
Back
Top Bottom