The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Magari mengine yanakuwa na miss hadi safari iishe loh balaaa
Mkuu Chaja
Haya maelezo hata baadhi ya watu wazima wanaweza wakaingia chaka
Raha ya safari salama gari lisiwe mwendo kasi
Umeshahau Matrekta mkuu, achana na mabenzi, ma-VXX n.k
Mambo yote trekta, kwanza unauhakika mkubwa wa kutopata ajali
Mlio wake haukinai hata kidogo.
Gari lisipotoa mlio kwa kweli ni hata dereva itamuia vigumu kujua kama injini inafanya kazi. Uwepo mlio wa kiushikaji halafu pia liwe linayumba-yumba kidogo na kunanesa-nesa kama Nissan Patrol
Kheeee Kheeee KheeeeeeKama petro/diesel iliyowekwa ni robo lita na niyakupima mtaani hayo ndio matokeo yake.
Nimeipenda hii mkuu, kuna milio ya wizi wa nauri ya biria. Ila kiujumla milio ya gari ya kiukweli inahamasisha safari
mleta sredi namtunuku digrii ya tafsida
Mhh we kiboko unatoaga wapi hizi? haya bwana ila bahati mbaya nilisoma science