Jeji
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,975
- 371
mkuu hawa jamaa wa Isimani nao walijisahau sana, walikula kk securitty wote hadi vitoto, nadhani wamekoma hawatarudia tena.Hamna njaa? Wakati Isimani walipata njaa hadi wakaomba msaada wakapewa mahindi wakaomba na mboga (hope kk security were in strike) wakapelekewa njegele.