Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,597
Wanabodi,
Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.
Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.
Karibu.
Paskali
Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.
Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.
Karibu.
Paskali