Kwa vile Benjamin William Mkapa ni baba wa demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, tumuenzi kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,442
113,452
Wanabodi,

Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.

Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.



Karibu.

Paskali
 
FB_IMG_1596084003859.jpg Mkapa
FB_IMG_1596084003859.jpg
 
Kuna mtoto ataona wivu Mzee Mkapa kuongelewa na kujadiliwa na sasa hivi utasikia na yeye kaposti yake ili tumuongelee yeye, ...
 
Wanabodi,

Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.

Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.



Karibu.

Paskali
Kishasahaulika Mkuu
Wafiwa washaanza kutengua
 
Wanabodi,

Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.

Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.



Karibu.

Paskali
Kuna jamaa limoja lililia machozi ya kinafki eti na yeye aonekane alilia.
 
Wanabodi,

Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.

Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.



Karibu.

Paskali


Baba wa demokrasia aliyekuwa anapanda majukwaani baada ya kustaafu kueneza siasa za chuki dhidi ya upinzani?
 
Wanabodi,

Kwa vile rais msataafu, Benjamin William Mkapa ni Baba wa Demokrasia, natoa wito kwa viongozi wetu, na sisi Watanzania katika ujumla wetu, tumuenzi Benjamini kwa kumsheherekea na kumuishi na sio kwa kumlilia tuu!.

Hiki ni kipindi maalum cha kumsherekea Benjamin William Mkapa.



Karibu.

Paskali
kwani mwaka 2000 ccm ilishinda znz? jibu baki nalo.
 
Baba wa Demokrasia?....ha ha ha ha ungesema alikuwa mfuasi wa UTANDAWAZI na UBINAFSISHAJI ungekuwa umenena!

Tuache kutoa sifa za uongo kisa tu mwenzetu katangulia mbele za haki!
 
Back
Top Bottom