Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
MUHIMU: Mbinu hii haitumiki kwa magurumbembe na gold diggers, ni kutwanga maji kwenye kinu.
BE HER DADDY, MFANYE AKUONE WEWE NI KAMA BABA YAKE,
Niseme tu ya kwamba ukiweza kuwa yule mtu anaeona anaendana ama kumzidi baba yake alivyo kwa vitu positive basi ni rahisi sana kumpata. ndio maana binti akidata na penzi lako hukuita my daddy / baba yangu.
Wekeza nguvu zote kuhakikisha unafanya vile vitu anavyopenda kutoka kwa baba yake, ni kama vile unashindana na baba yake, hii ndio silaha kuu.
mtreat kama mtoto wako onyesha hata kwa kufeki unajali sana vitu anavyofanya uwe unamuambia asubiri uchunguze kama ni salama ama kinamfaa (sometimes jifanye hujui chochote kuhusu anachofanya ila uje umwambie umechunguza siku nzima kwajili yake),
Mbebe kama mtoto mdogo inapobidi hata iwe hadharani,
muadhibu / mkaripie pale anapokosea kitu flani baada ya kumuelekeza sana na kumuonya ( usiwe soft kupitiliza)
Jaribu kuwa mtanashati na uvae kiheshima, najua wengi mtanicheka lakini amini usiamini mabinti wengi huwa wanalichulia kwa uzito suala la kijana kuvaa kiheshima, wao huwa wanaangalia kwa kigezo cha jinisi baba zao wanavyovaa suruali za marinda, kaunda suti ama kanzu
BE HER DADDY, MFANYE AKUONE WEWE NI KAMA BABA YAKE,
Niseme tu ya kwamba ukiweza kuwa yule mtu anaeona anaendana ama kumzidi baba yake alivyo kwa vitu positive basi ni rahisi sana kumpata. ndio maana binti akidata na penzi lako hukuita my daddy / baba yangu.
Wekeza nguvu zote kuhakikisha unafanya vile vitu anavyopenda kutoka kwa baba yake, ni kama vile unashindana na baba yake, hii ndio silaha kuu.
mtreat kama mtoto wako onyesha hata kwa kufeki unajali sana vitu anavyofanya uwe unamuambia asubiri uchunguze kama ni salama ama kinamfaa (sometimes jifanye hujui chochote kuhusu anachofanya ila uje umwambie umechunguza siku nzima kwajili yake),
Mbebe kama mtoto mdogo inapobidi hata iwe hadharani,
muadhibu / mkaripie pale anapokosea kitu flani baada ya kumuelekeza sana na kumuonya ( usiwe soft kupitiliza)
Jaribu kuwa mtanashati na uvae kiheshima, najua wengi mtanicheka lakini amini usiamini mabinti wengi huwa wanalichulia kwa uzito suala la kijana kuvaa kiheshima, wao huwa wanaangalia kwa kigezo cha jinisi baba zao wanavyovaa suruali za marinda, kaunda suti ama kanzu