Burkinabe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,923
- 3,235
Dsm inahitaji watu kariba ya kina Chalamila. Jiji lilipoa sana hili.
Nina imani kwa ujio wa Chalamila, sasa taarifa za habari zitaanza kufuatiliwa na watu wengi kuliko ilivyokuwa hapo kabla.
Ninachomwomba Chalamila, ni ajitahidi kuwa yeye na kuusema ukweli pasipo kumwogopa yeyote.
Usiogope kuwapa burudani wana Dsm kwa utani wako, maana hata hivyo hicho ndo kitambulisho cha uongozi wako.
Vinginevyo, nakutakia kila la heri unapokwenda kuanza kazi kwa kufanya "negotiations" na Wakinga wa Kariakoo.
Nina imani kwa ujio wa Chalamila, sasa taarifa za habari zitaanza kufuatiliwa na watu wengi kuliko ilivyokuwa hapo kabla.
Ninachomwomba Chalamila, ni ajitahidi kuwa yeye na kuusema ukweli pasipo kumwogopa yeyote.
Usiogope kuwapa burudani wana Dsm kwa utani wako, maana hata hivyo hicho ndo kitambulisho cha uongozi wako.
Vinginevyo, nakutakia kila la heri unapokwenda kuanza kazi kwa kufanya "negotiations" na Wakinga wa Kariakoo.