Unapota kuanzisha mradi mpya na mkubwa,mradi unaomini ukiusimamia vizuri utakutoa basi huna budi kuzingatia jambo Hili la mhimu ambalo wengi Huwa tunalisahau kwenye mipango yetu,jambo lenyewe ni Hili hapa;
Kuzingatia kuwa wewe ni binadamu na unatakiwa kupata mahitaji ya msingi kama chakula,mavazi na malazi pindi mradi unavyoendelea,hivyo kwenye bajeti zako za mradi usisahau kuweka gharama za kukusaidia uishi pindi mradi unaanza mpaka utakapoanza kuzaa matunda.
Usipozingatia Hilo katikati ya mradi utajikuta unatumia fedha ya mradi na kusababisha mradi kufa au kutoleta matunda tarajiwa,na wengi wetu tunakuwa frustrated na kuanguka kabisa na Inatufanya tukate tamaa kabisa.
USHUHUDA: 2015 nilianzisha mradi wa ufugaji wa kuku wa mayai,nilipanga bajeti zangu za mradi mzima mpaka kukamilika,nikakusanya fedha nikaanza mradi,katika bajeti zangu nilisahau kabisa namna nitakavyoishi mpaka mradi utapoanza kuleta matunda, hakika nilianza mradi vizuri lakini nikajikuta natumia fedha ya mradi Kwa ajiri ya mahitaji yangu mhimu, jambo Hili lilifanya mradi kufifia maana baada ya miezi mitatu nilianza kukosa fedha ya dawa na chakula Kwa ajiri ya kuku wangu wa mayai,nilikata tamaa ya mradi wa kuku na kuanza kulaani kuwa mradi wa kuku ni mbaya na haufai.
NINI UFANYE?unapoanzisha mradi mkubwa kama huna fedha za kutosha anzisha mradi mdogo wa kukusaidia uendelee kuishi pindi mradi mkubwa unavyoendelea.
Kuzingatia kuwa wewe ni binadamu na unatakiwa kupata mahitaji ya msingi kama chakula,mavazi na malazi pindi mradi unavyoendelea,hivyo kwenye bajeti zako za mradi usisahau kuweka gharama za kukusaidia uishi pindi mradi unaanza mpaka utakapoanza kuzaa matunda.
Usipozingatia Hilo katikati ya mradi utajikuta unatumia fedha ya mradi na kusababisha mradi kufa au kutoleta matunda tarajiwa,na wengi wetu tunakuwa frustrated na kuanguka kabisa na Inatufanya tukate tamaa kabisa.
USHUHUDA: 2015 nilianzisha mradi wa ufugaji wa kuku wa mayai,nilipanga bajeti zangu za mradi mzima mpaka kukamilika,nikakusanya fedha nikaanza mradi,katika bajeti zangu nilisahau kabisa namna nitakavyoishi mpaka mradi utapoanza kuleta matunda, hakika nilianza mradi vizuri lakini nikajikuta natumia fedha ya mradi Kwa ajiri ya mahitaji yangu mhimu, jambo Hili lilifanya mradi kufifia maana baada ya miezi mitatu nilianza kukosa fedha ya dawa na chakula Kwa ajiri ya kuku wangu wa mayai,nilikata tamaa ya mradi wa kuku na kuanza kulaani kuwa mradi wa kuku ni mbaya na haufai.
NINI UFANYE?unapoanzisha mradi mkubwa kama huna fedha za kutosha anzisha mradi mdogo wa kukusaidia uendelee kuishi pindi mradi mkubwa unavyoendelea.