Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 762
- 1,426
Tunataka Serikali ijitafakari kwa hali inavyoendelea kuhusu upatikanaji wa Umeme.
Mbeya kila siku hakuna umeme ni usumbufu tuu. Hii inakera sana, heri muache kusafiri lakini shughulikieni suala la Umeme.
Miezi sita mliyosema yatakuwa yaleyale Miaka 62 bado umeme unasumbua sana, itawezekana Kwa miezi sita?
Tuwe serious tuweke uhalisia kuliko Maneno. Huku mikoani tunatumia saaana umeme haupo Kabisa. Hii ni KERO zaidi ya KERO.
Mbeya kila siku hakuna umeme ni usumbufu tuu. Hii inakera sana, heri muache kusafiri lakini shughulikieni suala la Umeme.
Miezi sita mliyosema yatakuwa yaleyale Miaka 62 bado umeme unasumbua sana, itawezekana Kwa miezi sita?
Tuwe serious tuweke uhalisia kuliko Maneno. Huku mikoani tunatumia saaana umeme haupo Kabisa. Hii ni KERO zaidi ya KERO.