Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,661
- 46,349
Inaripotiwa kizuizi na kitisho kilichotolewa na Urusi kuhusu meli zitakazotoka Ukraine kimeshindwa vibaya baada ya meli tatu kutoka Ugiriki, Israel na Uturuki/Georgia kupita katikati yake zikiwa na shehena kutoka nchini Ukraine huku zikisindikizwa na ndege vita 4 za NATO.
Urusi ilitishia kushambulia meli zozote kutoka Ukraine baada ya kuvunjika mkataba na Ukraine kutoshambulia usafirishaji wa ngano kutoka bandari za Ukraine hasa kuelekea nchi masikini za Africa.
Urusi ilitishia kushambulia meli zozote kutoka Ukraine baada ya kuvunjika mkataba na Ukraine kutoshambulia usafirishaji wa ngano kutoka bandari za Ukraine hasa kuelekea nchi masikini za Africa.