Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Hilo zoezi mimi nashkuru nimeliweza na sas yeye ndio analalamika tuhali hii nipo nayo halafu nahudumia kabisa
Principle yangu sai ni kama sifurahishwi na binti simwambii tuachane maana najua haisaidii kisaikolojia
Kikubwa we piga kimya tu hata kama unampenda vipi na akikutafuta usimjibu muda huo huo tusiongozwe na vichwa vya chini
UPATIKANAJI WAKO WA SANA UNAPUNGUZA THAMANI YAKO
TOO AVAILABLE REDUCES YOUR VALUABLE