Hivi kwenye somo kama la chemistry ambapo kumejaa equations to solve, au physics ambayo Iko full of calculations .. kingereza cha nini sasa hapo .. ukilinganisha na masomo mengine kama history ambapo unaandika tu mwanzo mwisho ..??Kiswahili kimefanywa kuwa kigumu . Sayansi ikifundishwa kwa kiswahili ni rahisi zaidi ikumbukwe sayansi ni nature no imagination ila kiswahili mfano fasihi ni mambo ya dhahania zaidi na watu kiswahili wanafeli kwenye fasihi sio sarufi. Fasihi kwakweli ni ngumu sana na baraza la mitihani wameivuruga kabisa
Mimi nlivyomaliza form 6 sikutaka tena kusikia kitu kinaitwa PhysicsBora umwambie mkuu, science inataka mtu atulize kichwa haswa ..
Inawezskana mi mazoea tuu ya kutumia lugha ya kiswahili ni rahisi sema hatutaki kukitumia. Mfano barakoa sidhani ulikua unaujua huu msamiati mpaka ilipokuja corona. Lugha na msamiati ni matumizi yake mfano mwengine ni mubashara zamani watu walikua wanasema Live tuuKiswahili kigumu maana hata hatuongei lugha fasaha.
Fikiria glass, box, peni, stapler ni maneno ya kingereza tunatumia kama kiswahil
Nimepata credit 4 ya Uganda sijui kwa tz inakuaje maana sija convert results zangu kwa huko tzKwa kupata C
Haya ukiondoa hayo maneno trending. Box kwa kiswahili ni nini au stapler.Inawezskana mi mazoea tuu ya kutumia lugha ya kiswahili ni rahisi sema hatutaki kukitumia. Mfano barakoa sidhani ulikua unaujua huu msamiati mpaka ilipokuja corona. Lugha na msamiati ni matumizi yake mfano mwengine ni mubashara zamani watu walikua wanasema Live tuu
Sasa hizp calculation utazielewaje kama zimeelezewa kwa kingerezaHivi kwenye somo kama la chemistry ambapo kumejaa equations to solve, au physics ambayo Iko full of calculations .. kingereza cha nini sasa hapo .. ukilinganisha na masomo mengine kama history ambapo unaandika tu mwanzo mwisho ..??
Box si kasha au boksi . Maneno mengi ya kisayansi yapo kwenye kiswahili ni vile hatujazoea kuyatumia ndio maana tunaona ya ajabu mbona wafaransa wanatumia lugha yao na nitofauti na kizungu au waarabu wanatumia lugha yao na tofauti na kizungu kufundisha sayansiHaya ukiondoa hayo maneno trending. Box kwa kiswahili ni nini au stapler.
Haelewi tu anacho kiongea huyo ..Mimi nlivyomaliza form 6 sikutaka tena kusikia kitu kinaitwa Physics
Udom ulikua unafanya shughuli gani?Zero oyeee..na shule ikaishia hapohapo fom fooo.
Vile tuliopata zero tunafurahi kuona uzi wetu
Hivi we jamaa ni English ipi unayoongelea wewe, hivi mtu anayejaza answer booklets 2 za history ashindwe kuelewa swali tu .. inaingia akilini kweli ..Sasa hizp calculation utazielewaje kama zimeelezewa kwa kingerezamtu vocuburary huna utaelewaje maana ya equlibrium au swali linavyoulizwa kwa kukuchanganya . Mtu yupo darasani mwalimu anafundisha kwa kingereza na haelewi kingereza hata kama ni calculation atafeli tuu
Hata huko wanakoongea kingereza na masomo yote kwa lugha hiyo hawafeli? Tena unakuta hata English yenyewe mtoto anapata zeroHivi we jamaa ni English ipi unayoongelea wewe, hivi mtu anayejaza answer booklets 2 za history ashindwe kuelewa swali tu .. inaingia akilini kweli ..
Huyu jamaa anatia shaka kwa kweli .. au inamaana wazungu wao hawafeli masomo ya science ..Hata huko wanakoongea kingereza na masomo yote kwa lugha hiyo hawafeli? Tena unakuta hata English yenyewe mtoto anapata zero
MuoneHahah!
Nimecomment kiutani tu.
Huyo atakuwa anaisikia sayansiMbona kiswahili kinafundishwa kwa lugha ya kiswahili na bado watu wanafeli.
Sayansi sio lelemama
watoto wako ume warithisha, division oneNaona mnajivunia mlichokivuna eeh hizo Zeroes! Angalieni msije kurithisha watoto
Watoto wangu bado wapo kwenye ovaries! Ila nadhani watarithi Division 4 siyo zero. Sikupata zero, nilipata 4 yangu safi. Wewe vipi umewarithisha nini 😬watoto wako ume warithisha, division one