Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Kituo cha Mabasi yaendayo haraka (RBT) kinachojulikana kama Kimara - Bucha kimepewa jina la kwa Thomas, nilimuuliza jamaa yangu mmoja juu ya kwa nini wanapaita Kwa Thomas, akasema unatakiwa kuwa mwenyeji wa Dar kumfahamu huyu jamaa.
Kuna story kwamba huyu Thomas alikuwa tajiri siku za nyuma na amekuja kufirisika baada ya kuhusishwa na Mabomu yaliyolipua Ubalozi wa Marekani hapa TZ.
Nilimbishia kwa kumuuliza chanzo cha habari yake lakini hakunipa jibu mwafaka nikaona niulizie humu JF. Mwenye hizi taarifa kwa ufasaha asaidie jamani.
Kuna story kwamba huyu Thomas alikuwa tajiri siku za nyuma na amekuja kufirisika baada ya kuhusishwa na Mabomu yaliyolipua Ubalozi wa Marekani hapa TZ.
Nilimbishia kwa kumuuliza chanzo cha habari yake lakini hakunipa jibu mwafaka nikaona niulizie humu JF. Mwenye hizi taarifa kwa ufasaha asaidie jamani.