Kwa Thomas - Kimara bucha

Kwa Thomas - Kimara bucha

Kuna story nyingi kama ya bwana Mussa Hassan wa Msasani ambaye baada ya jina lake kuwa gumu ikabidi lifupishwe Msa'asan. Wwngine wananiambia kuna watu fulani walikuwa wanaishi somewhere Kinondoni ambapo kulikuwa na kutokuelewana fulani kwa namna ya kulogana, sasa mtu mmoja ambaye alikuwa ni mwoga sana wa ulozi kila mwanae akilia alikuwa anambembeleza kwa kumwambia Mwana Nyamala(nyamaza) Lile eneo leo ni Mwananyamala....

Mwananyamala ni sababu ya SIMBA aliyekuwa anapenda kukaa eneo ilipo mwananyamala ya sasa. Iko siku Mama mmoja na mwanawe mchanga walikuwa wanavuka kile kijito kwenda Ubungo ndipo Simba akanguruma na mtoto yule mchanga akawa analia sana. Mamaye alimbembeleza Mwananyamala mapaka Simba alipomchukua huyo mama na watu waliosikia kilio chake usiku ule wahaita mahala pale JINA HILO!
 
Ni kweli Thomasi Lyimo alikuwa mmiliki wa garage kubwa maeneo hayo na alihusishwa na ulipuaji wa bomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mwaka 1998. Makachero wa FBI walibaini Kuwa mabomu Yale yalichomelewa ndani ya karakana yake.

Aliwahi pia Kuwa na program za kusaidia ujenzi wa uzio katika shule za Dar hasa baada ya tukio la Fundi Cherehani Maumba kulawiti watoto lukuki wa shule za msingi maeneo ya Kisutu na mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi mashuleni.
 
Mwananyamala ni sababu ya SIMBA aliyekuwa anapenda kukaa eneo ilipo mwananyamala ya sasa. Iko siku Mama mmoja na mwanawe mchanga walikuwa wanavuka kile kijito kwenda Ubungo ndipo Simba akanguruma na mtoto yule mchanga akawa analia sana. Mamaye alimbembeleza Mwananyamala mapaka Simba alipomchukua huyo mama na watu waliosikia kilio chake usiku ule wahaita mahala pale JINA HILO!

Mkuu sijui kama unakumbu kumbu unikumbushe kisa cha Mwembejini - Kinondoni makaburini, Mwembe Yanga, Mwembe Chai, Kiembe samaki, Kiembe mbuzi na miembe saba - Kibaha!
 
Ni kweli Thomasi Lyimo alikuwa mmiliki wa garage kubwa maeneo hayo na alihusishwa na ulipuaji wa bomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mwaka 1998. Makachero wa FBI walibaini Kuwa mabomu Yale yalichomelewa ndani ya karakana yake. Aliwahi pia Kuwa na program za kusaidia ujenzi wa uzio katika shule za Dar hasa baada ya tukio la Fundi Cherehani Maumba kulawiti watoto lukuki wa shule za msingi maeneo ya Kisutu na mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi mashuleni.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums

Umemaliza mkuu ila ongezea na mabanda kibao ya kunywa maziwa likiwemo lile pale kariakoo round about.
 
sasa huyo mtu yupo wapi?

Bado yupo maeneo ya kimara ameanzisha chuo cha Ualimu nafikiri kinaitwa Ebonite, yeye darasa la saba ingawa amejiendeleza hadi form IV. Enzi zake mabinti kama wewe ( kama kweli avatar inaendana nawe kwa angalau 75%) walikuwa hawakatizi, jamaa ana strategy kali sana. wengi wa waliokuwa wanamfundisha walikuwa wale watoto wakali toka Chuo na maeneo mengine ya mji. (kumbuka form I hadi form IV alijifunzia ofisini kwake na walimu wote mabinti wakali). Unakuwa umezubaa mara anazuka mpambe wake kuwa kuna mtu anataka twisheni malipo 5,000/= kwa saa hiyo 1990's na kweli unalipwa wewe utaacha kweli kwenda 'kufundisha'.

Pia atakumbukwa kwa kuchangia ujenzi wa nyumba mbali mbali za ibada ( Pande zote), kama kuna harambee enzi hizo kama akipelekewa mwaliko akasema ana udhuru basi harambee yahairishwa!
 
Wakuu m leo nimepata faida, endeleen kutoa somo ntapata na mtaa wangu hapa mwanza unaitwa kifua wazi cjui y uliitwa hivyo mwenye jb tafadhar karb!
 
Ni kweli Thomasi Lyimo alikuwa mmiliki wa garage kubwa maeneo hayo na alihusishwa na ulipuaji wa bomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mwaka 1998. Makachero wa FBI walibaini Kuwa mabomu Yale yalichomelewa ndani ya karakana yake. Aliwahi pia Kuwa na program za kusaidia ujenzi wa uzio katika shule za Dar hasa baada ya tukio la Fundi Cherehani Maumba kulawiti watoto lukuki wa shule za msingi maeneo ya Kisutu na mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi mashuleni.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Ni mmiliki wa garage hiyo mpaka leo.
1) ame cut down operations za garage, na amefunga kiwanda cha maziwa.(kiwanda kipo, mashine zipo, na ana ng'ombe wengi sana Ilula Iringa)...uzee nao unachangia.

2) Ame diversify biashara zake - waswahili wamezoea ukiuza ubuyu, basi, hiyohiyo mpaka unakufa.

3) Ana series of restaurants kariakoo na maeneo mengine..fast food za kawaida sana. (huwezi kuamini kwamba mtu aliyekuwa antengeneza tanker kwa 200m anaweza kuuza mandazi). Huo ndio UJASIRIAMALI.

4) Ana chuo cha ualimu - Ebonite Teachers College (Kimara Bucha - NOW Kimara kwa Thomasi)

5) Ana shamba kubwa la ng'ombe huko Ilula Iringa.

Kimsingi, Thomas is an entrepreneur mzuri sana, bahati mbaya naona amekosa mtoto mwenye akili ya kumrithisha.

litoto lake moja linakamata viroba mwanzo mwisho...linagongwa na magari tu kila siku.

NOTE: Kimara Bucha imetokana na bucha iliyokuwa pale upande wa pili wa barabara (opposite his garage). bucha ilikuwa ya Thomasi pia.

need I say more?
 
Ni mmiliki wa garage hiyo mpaka leo.
1) ame cut down operations za garage, na amefunga kiwanda cha maziwa.(kiwanda kipo, mashine zipo, na ana ng'ombe wengi sana Ilula Iringa)...uzee nao unachangia.

2) Ame diversify biashara zake - waswahili wamezoea ukiuza ubuyu, basi, hiyohiyo mpaka unakufa.

3) Ana series of restaurants kariakoo na maeneo mengine..fast food za kawaida sana. (huwezi kuamini kwamba mtu aliyekuwa antengeneza tanker kwa 200m anaweza kuuza mandazi). Huo ndio UJASIRIAMALI.

4) Ana chuo cha ualimu - Ebonite Teachers College (Kimara Bucha - NOW Kimara kwa Thomasi)

5) Ana shamba kubwa la ng'ombe huko Ilula Iringa.

Kimsingi, Thomas is an entrepreneur mzuri sana, bahati mbaya naona amekosa mtoto mwenye akili ya kumrithisha.

litoto lake moja linakamata viroba mwanzo mwisho...linagongwa na magari tu kila siku.

NOTE: Kimara Bucha imetokana na bucha iliyokuwa pale upande wa pili wa barabara (opposite his garage). bucha ilikuwa ya Thomasi pia.

need I say more?

Nimekugongea like lakini naona kama haina uzito kama enzi zile za "Thank you for this useful post".
 
Mkuu sijui kama unakumbu kumbu unikumbushe kisa cha Mwembejini - Kinondoni makaburini, Mwembe Yanga, Mwembe Chai, Kiembe samaki, Kiembe mbuzi na miembe saba - Kibaha!

Mkuu na Kbanda maiti, Mchamba wima, Makunduchi, Matombo, Mlandege, Majumba sita, Mchafu koge, Shekilango, Mbagala rangi tatu nk
 
Ni mmiliki wa garage hiyo mpaka leo.
1) ame cut down operations za garage, na amefunga kiwanda cha maziwa.(kiwanda kipo, mashine zipo, na ana ng'ombe wengi sana Ilula Iringa)...uzee nao unachangia.

2) Ame diversify biashara zake - waswahili wamezoea ukiuza ubuyu, basi, hiyohiyo mpaka unakufa.

3) Ana series of restaurants kariakoo na maeneo mengine..fast food za kawaida sana. (huwezi kuamini kwamba mtu aliyekuwa antengeneza tanker kwa 200m anaweza kuuza mandazi). Huo ndio UJASIRIAMALI.

4) Ana chuo cha ualimu - Ebonite Teachers College (Kimara Bucha - NOW Kimara kwa Thomasi)

5) Ana shamba kubwa la ng'ombe huko Ilula Iringa.

Kimsingi, Thomas is an entrepreneur mzuri sana, bahati mbaya naona amekosa mtoto mwenye akili ya kumrithisha.

litoto lake moja linakamata viroba mwanzo mwisho...linagongwa na magari tu kila siku.

NOTE: Kimara Bucha imetokana na bucha iliyokuwa pale upande wa pili wa barabara (opposite his garage). bucha ilikuwa ya Thomasi pia.

need I say more?
Umenena vema mkuu. Sasa utamsaidiaje kuhusu hilo toto ili lijirekebeshe ili liweze ku run miradi ya baba yake isife kama ikitokea baba "akapumzika" maana si familia tu inayonufaika na miradi ya mzee Thomas maana ametoa ajira kwa watu wengi ambao maisha yao yanategemea kuwepo kwa miradi yake. Miradi ikifa maana yake ni kuwa ajira zinapotea
 
Ni kweli Thomasi Lyimo alikuwa mmiliki wa garage kubwa maeneo hayo na alihusishwa na ulipuaji wa bomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mwaka 1998. Makachero wa FBI walibaini Kuwa mabomu Yale yalichomelewa ndani ya karakana yake. Aliwahi pia Kuwa na program za kusaidia ujenzi wa uzio katika shule za Dar hasa baada ya tukio la Fundi Cherehani Maumba kulawiti watoto lukuki wa shule za msingi maeneo ya Kisutu na mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi mashuleni.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums

Samahani unaweza ukatupatia stori hii ya fundi cherehani?

Naona ina mvuto.
 
Hapo umeonesha kuwa wewe unaijua dar la kini kuna ---- mmoja akasema bucha ya kiti moto huyo ni zezeta mno.name dar haijui ni mbwembwe.mfano mzuri umempa Wa machinjioni Changombe.
 
Mkuu sijui kama unakumbu kumbu unikumbushe kisa cha Mwembejini - Kinondoni makaburini, Mwembe Yanga, Mwembe Chai, Kiembe samaki, Kiembe mbuzi na miembe saba - Kibaha!

unajua kisa cha kawe? Hiyo ilikuwa ni njia ya kupitisha ng'ombe yani 'cow way ' watu walishindwa kutamka maneno hayo mawili kwa kingereza mwisho wa siku neno KAWE likaibuka hadi leo panajulikana hivyo..haha watu kwa stori!!!
 
we mgeni dar? Inasemekana Ni kweli alihusishwa sababu alichonga kasha(bila kujua!)lililobeba bomu. Lakini pia inasemekana swalatano walikataa pale kuitwa bucha sababu bucha inayoitwa/tamkwa pale ni bucha kubwa na maarufu ya kitimoto. Ni bora akumbukwe Thomas Lyimo kuliko kitimoto!

Kwani BUCHA lazima kumalizia mwishoni ni ya nini?? Kama kungekuwa na DANGURO mbona wangepaita tuu kwa K? Kukinyima Kitimoto heshima kama mboga yetu Makafiri
 
In real huyu mtu ni Thomas Lymo aka Thomas Dudu ni mmoja wa ma-tycon wa Dar miaka ya 90 alikuwa anamiliki vibanda vya kuuza maziwa na alikuwa na garage alikuwa pia mlezi wa shule ya Uhuru ile pale round about"girl school"pia alipataga shavu
 
Huyu jamaa bila shaka ni yule aliyetikisa na maduka ya maziwa yaliotapakaa kila kona hapa jijini maarufu kama Tomy daily?
 
Pia alipataga shavu la kujenga uzio wa Ikulu ya Dar ndio ulimtoa zaidi miaka ile alisemekana alikuwa amemuoa jamaa wa mwenye mji!!!Huyu ndie Thomas kufilisika sidhani itakuwa ameyumba tu kdg ila bado anazo mia mia mbili!!!
 
Back
Top Bottom