Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Mkuu, mpe tu heshima yake. Sema wazi tu kuwa yeye ni Form IV kielimu... yeye darasa la saba ingawa amejiendeleza hadi form IV. ...
Mkuu, mpe tu heshima yake. Sema wazi tu kuwa yeye ni Form IV kielimu... yeye darasa la saba ingawa amejiendeleza hadi form IV. ...
Ni kweli yeye ni Form IV, na yawezekana ameisha-upgrade zaidi, nilitaka kuonyesha kuwa lolote lawezeka. pamoja na fedha zake yeye hakubweteka aliendeleza shule. Enzni hizo ukiongea naye anampaka mshikaji wake mmoja wa maeneo hayohayo ambaye aliibuka na alikuwa na mabasi ya kwenda mikoani lkn akafilisika eti kutokana na shule ndogoMkuu, mpe tu heshima yake. Sema wazi tu kuwa yeye ni Form IV kielimu
Hapa si yangejadiliwa majina ya vituo vyote sasa!!
Garage yake ilihusika na kutengeneza mlipuko wa 1998 Ubalozi wa Marekani lakin uchunguzi ukaja kuonesha hawakuwa accomplice alilipwa vzur akafanikiwa kufungua na kampuni yake ya Maziwa Tommy Diary ikaja kufa amebaki na biashara yake ya awali ( Garage ). Kuhusu majina ya vituo sio big deal sana hata pale Korogwe hapaitwi Korogwe panaitwa Resort, Rombo wamepaita Kibo so sijui km kuna internal politics.
any way tuanzie pale mwisho wa wazee chalinze hadi kariakoo
Kwenye RED, Bucha inayotamkwa pale siyo Noah wala mbuzi katoliki bali ni kuwa pale kulikuwa na ajali nyingi sana watu wakichinjwa ni kama vile pale Chang'ombe panavyoitwa machinjioni. Hivyo si busara kuita jina hilo la kimzaha (lakini mzaha wa hatari) ndo maana waka - opt for Thomas kwani jamaa ana gereji kubwa pale, ambayo naona kama kawakodisha wachina kwa sasa.
Kuna hadithi kuwa ajali hizo zilikuwa zinasababishwa na matambiko ya huyo jamaa, ingawa ukweli ni kuwa tatizo lilikuwa ule mteremko mkali lkn binadamu wakazusha kama kawaida yao.
yeah! Wakiwa na Ruaha Discoteque enzi hizo! Wafalme bar ipo chini kidogo ya ruaha galax kama unaenda mjini,wafalme kalikua kabaa kadogo lakini maarufu kwa kutengeneza kitimoto.Pale pia kulikuwa na Baa maarufu ya John Ngogo (Marhum) RUAHA GALLAXY!
Mkuu bucha inayotajwa ni ya noah aka kitimoto. Ilikua opposite kabisa na lile jengo la garage la thomas lyimo.mwenye bucha aliweka bango lake karibu na barabara likiwa limechorwa ngurue mweupe na maandishi 'pork butcher'. Bucha na bango vilibomolewa wakati zinajengwa barabara mbili. Miaka ya nyuma kituo kilikua baruti na korogwe tu. Pale palikua kushuka kwa kuomba msaada tu.watu walikua wakisema msaada bucha.fika pale uliza wenyeji pale maeneo ya wafalme bar watakuambia.mi mdau maeneo hayo toka 1984
....Hivi na ule mjengo uliopo pale kimara sijui ndio wanaita korogwe uande wa kushoto kuelkea Moro unaodaiwa kuwa ndio ilikuwa garage yenyewe bado analimiliki au FBI walipiga stop kutumika tena?we mgeni dar? Inasemekana Ni kweli alihusishwa sababu alichonga kasha(bila kujua!)lililobeba bomu. Lakini pia inasemekana swalatano walikataa pale kuitwa bucha sababu bucha inayoitwa/tamkwa pale ni bucha kubwa na maarufu ya kitimoto. Ni bora akumbukwe Thomas Lyimo kuliko kitimoto!
...Pale kulikuwa na ice cream parlour ya Bakharesa na kwa wakati ule wa Enzi za giza ilikuwa rahisi mtu kuelekezwa kwa jina la Bakharesa. Ingawa pia kulikuwa na hata bucha za "Noah" miaka ile kabla ya mtifuano wa wanaharakati pangeweza pia kuitwa kituo cha "Noah"..Mkuu hakuna kinachonisikitisha kama kile kituo cha Tip Top kilipobadilishwa jina na kuitwa Bakharesa yaani ni ujinga usio na maana kabisa isitoshe huyo Bakharesa amepakuta pale pakiwa na jina hilo hilo,na nashindwa kuelewa walitumia vigezo gani kubadili majina ya hivi vituo ambavyo vinabeba kumbukumbu na maana kubwa sana kwa Wakazi wa Manzese na Dar nzima,au ndio mambo ya mlungura yametembea.
The chances are, mzee akiondoka basi he will go with a big chunk of his projects.Umenena vema mkuu. Sasa utamsaidiaje kuhusu hilo toto ili lijirekebeshe ili liweze ku run miradi ya baba yake isife kama ikitokea baba "akapumzika" maana si familia tu inayonufaika na miradi ya mzee Thomas maana ametoa ajira kwa watu wengi ambao maisha yao yanategemea kuwepo kwa miradi yake. Miradi ikifa maana yake ni kuwa ajira zinapotea
Hahahahahaaaaa!!..........Ewaaaaa.Pale pia kulikuwa na Baa maarufu ya John Ngogo (Marhum) RUAHA GALLAXY!
The chances are, mzee akiondoka basi he will go with a big chunk of his projects.
Lijamaa linasema likifa, ile garage itajaa watoto wake wa nje........lakini halijawahi kutambulisha watoto wa nje ndani ya familia yake. Linasema limemalizana nao juu kwa juu, kwa maana ya kwamba watoto na amam zao wanajitegemea huko walipo.
Huyo ndo Thomas...ana Mercedes Benz 5 amepark nyumbani na garage zimeshajifia +other cars like 20, zote ame-park na zimeshakufa kwasababu hataki mtu aguse wala hataki kuuza.