Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,266
Hahahahahaaaaa!!..........Ewaaaaa.
Sasa pale, wale wahudumu wote wanawake wameshakufa isipokuwa moja tu - anaitwa mama Sadiki kama sikosei, hakuwahi kujua kusoma wala kuandika mpaka leo hii. Dogo amecukua ile bar, ameamua kumstaafisha bibi, amemfungulia genge. na amemwambia awe anakuja kunywa bia mbili kila jumapili. Huyo maza hawezi hata kurudisha chenchi lakini amekuwa mhudumu wa Ruaha Galaxy kwa maisha yake yote...tangu usichana wake mpaka amekuwa bibi.
Namkumbuka sana......akiniona ananiita .......mwanangu siku hizi umeacha kunywa Kilimanjaro..duh....hahahahahaaa!!
Uko deep!