Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Wizara ya nishati si alitolewa Kalemani akawekwa Januari MakambaTatizo wanaotolewa na wanaowekwa wote hovyo.
Sasa usishangae katika wizara ya madini akatolewa Biteko akawekwa Nape Nauye ama Ridhiwani kabisaa