Kwa suala la ununuzi wa rada nne nitakupongeza daima hayati JPM kazi ya kizalendo sana

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
18,488
13,608
Kuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.

Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.

Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.

Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.

Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.

Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.

Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.

JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.
 
Amefanya baadhi mazuri ila mengi kaboronga sana!! Penye ukweli pasemwe tu bila kubwabwaja!!

Nahisi angekuwa na viongozi washauri wazuri angefanya vizuri sana!! Ila viongozi aina ya makonda na sabaya ndo walikuwa washauri wakuu lazima aboronge tu!!
 
Amefanya baadhi mazuri ila mengi kaboronga sana!! Penye ukweli pasemwe tu bila kubwabwaja!!

Nahisi angekuwa na viongozi washauri wazuri angefanya vizuri sana!! Ila viongozi aina ya makonda na sabaya ndo walikuwa washauri wakuu lazima aboronge tu!!
Maraisi wa kiafrika hawana uwezo wa kufanya sababu ya kujiamini wao peke yao ujiona wako sahii tena awawezi kabisa mfano mawaziri wakuu wa wilaya mikoa awana uwezo wa kusimamia pia wanao simamiwa wanajivuna kwa sababu na wao wameteuliwa na huyo alie wateua wanao wa simamia
 
Kuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.

Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.

Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.

Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.

Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.

Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.

Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.

JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.
Kujua ndege iliyoingia na kujua ilichobeba ni mada mbili tofauti
 
Tuna rada tuli-develope wenyewe na jamaa wa udsm tangu late 80s,inaona mpaka Ethiopia,mkapa alipiga hela kupitia rada,una uhakika gani huyo unayemsifu hakupiga hela kwenye hizo rada!?
Zipo nne zilinunuliwa shilingi bilioni 67 zote kwa pamoja.

Ile ya Mkapa inaona mpaka ngerengere tu kutoka Dar tukauziwa shilingi bilioni 60 mmoja, Chenge na wenzake walitupiga.
 
Kuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.

Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.

Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.

Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.

Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.

Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.

Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.

JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.

Yaliingia madege Pakistan na maguvu yao ya Nuke kibindoni yakamkuta yaliyomkuta Osama bila kuonekana, ije kuwa shujaa wenu alikuja na muarobaini tena nao kutoka kwa beberu huko?

Tangu lini beberu alikuwa na jema kwetu au sasa haya ndiyo yale mambo yetu ya baniani mbaya ila kiatu chake?
 
Kuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.

Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.

Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.

Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.

Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.

Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.

Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.

JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.
Nikweli.. lakini je.. mamlaka zikiona ndege inaingia zitakwambia ?
 
Back
Top Bottom