Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br />hoja ipi ambayo wameibua........yaleyale masaburi ndo unatumia kuwaza
<br />
Hoya ya Jairo ni ya Chadema? Au Mama Shelukindo ni wenu siku hizi?
<br />hoja ipi ambayo wameibua........yaleyale masaburi ndo unatumia kuwaza
CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!
Nadhani hata ufisadi na ukosefu wa uongozi Magogoni umeletwa na CDM. Endelea kusema!CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!
hotuba Lissu imejaa uchochezi, unafiki na ubaguzi hatuwezi kuacha taifa lisambaratike kwa upuuzi wa mtu mmoja haifai kuungwa mkono. vinginevyo wanaounga mkono wanafikiri kutumia makalio.
<br />Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu. <br />
<br />
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda<br />
<br />
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi. <br />
<br />
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
<br />Mkuu ukitumia bange shurti ule kwanza!!!!!
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
Hi, Jaribu kufuatilia jambo vizuri kabla hujalianika, vinginevyo utakuwa unawadhihirishia watu juu ya uwezo wako mdoko wa kufikiri.
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Hahaha, tena anatumia kitu cha malawi, rejao usije harisha humu ndani maana hiyo bangi inauwa valvu ya mlango wa masaburii
Muungano bado ni suala linalohitaji mjadala wa kitaifa kwani si majibu yote yamepatikana...kama pande zote bado zahitaji muungano basi naamini majibu ya kero zilizopo yatapatikana na muungano utazidi kudumu.
binafsi naupenda muungano.
Muungano unalalamikiwa sana na wazanzibar kuliko Watanganyika. Kuwauliza wazanzibar na watanganyika kama bado wanaupenda Muungano, tatizo liko wapi?.
Pili, Muungano haukuwashirikisha watanzania(watanganyika na wazanzibar wote) wakati unaundwa. Kuwauliza watanzania wote sasa, tatizo liko wapi?
Tatu, hata kama ungekuwa umewashirikisha vizuri watanzania wakati huo, kama baada ya miaka kadhaa wameuchoka na wanataka kubadili baadhi ya vipengele, tatizo liko wapi?
Mwisho, Turudi kwenye Msingi, kama nchi mbili ziliungana ( Tanganyika na Zanzibar) na kuwa nchi moja (Tanzania), inakuwaje tena kuwe na Zanzibar, bila Tanganyika? Hii fomula ya 1+1 = 2 ktk masuala ya Muungano ni sera ya CCM, siyo Chadema. Tundu Lissu yuko sahihi kwa mujibu wa sera ya Chadema kuhusu Muungano.