Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
May the Best competitor Win ............hamna habari za kuoneana huruma
Ukweli ndo huo janja.unayumba Janja
sikuizi vijana wengi wapuuzi wapo CCM kusaka nyazifaLissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
changamoto ya kwanza ni iyo anayopambana nayoKwahiyo hoja ni kupambana na Magufuli na siyo Kuweza kutatua changamoto za wananchi
iliutatue changamoto za wananchi lazima uondoe kwanza huu mfumo wa kidikteta tuliopandikizwa kwa miaka mi5Kwahiyo hoja ni kupambana na Magufuli na siyo Kuweza kutatua changamoto za wananchi
Mnahotaji taasisi imara na yenye kufuata sheria, ni chama gani Cha upinzani Hapa Tanzania ambayo ni taasisi imara, Huwezi kutegemea taasisi imara kwenye vyama ambavyo siyo taasisi imaraKabisa, tunataka mifumo ya taasisi imara na sio mtu imara. Tukiwa na taasisi imara mtu yeyote mwenye sifa za kuwa rais ataongoza kwa mafanikio makubwa. Tunahitaji taasisi zenye uwezo wa kutoa dira ya mwelekeo wa nchi, zenye uwezo wa kumwajibisha yeyote hata kama ni rais.
Tunahitaji utawala wa sheria utakaosimamiwa na hizo taasisi imara. Tunahitaji kuishi kwa kuhofia sheria inasemaje na sio hofu ya kumuogopa mtu.
Kama uwezo wako wa kupambanua mambo ungekuwa mkubwa ungeweka ID yako halisi ili ujulikaneVyoyote vile kwa uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo.
Umeongea ukweli mtupu, akikanyaga kule lazima abanwe na maswali. Na ndugu paschal Mayala anafahamu vizuri uwezo wa ndugu yetu vizuri ktk hiyo nyanja.Magufuli hata kaa akanyage Ulaya na USA..sababu ukifika tu ukimalizana na Rais mwenyeji ni LAZIMA kuna press lazima uzi face utake usitake..
Sasa hayo maswali yanaweza mpeleka mtu mochware.
Umeandika tu ilimradi uonekane umeandika au? Kwa hiyo chama kama sio imara basi nchi haitakiwi kuwa na taasisi imara? Mambo mengine kama ni mazito kwa ubongo wako kuyaelewa ni bora kukaa kimya.Mnahotaji taasisi imara na yenye kufuata sheria, ni chama gani Cha upinzani Hapa Tanzania ambayo ni taasisi imara, Huwezi kutegemea taasisi imara kwenye vyama ambavyo siyo taasisi imara
Huo unafiki wa vyama vya upinzani mtaacha lini, uchaguzi ukipita mnaanza kufukuzana uchaguzi ukikaribia mnahaha kuungana, Huo ni unafiki wa level ya PhDMmeanza kubwaga manyanga
Kwahiyo tutegeme kuvuna maembe kwenye mchungwa. Toa boriti kwenye jicho lako kwanzaUmeandika tu ilimradi uonekane umeandika au? Kwa hiyo chama kama sio imara basi nchi haitakiwi kuwa na taasisi imara? Mambo mengine kama ni mazito kwa ubongo wako kuyaelewa ni bora kukaa kimya.
Wewe jamaa nakupuuza rasmi. Inaonekana unajua kusoma, kuandika na kuhesabu tu. Unachokiandika kinaakisi uelewa wako. Kujibishana na wewe ni sawa na kuongea na mtoto wa miaka 3.Kwahiyo tutegeme kuvuna maembe kwenye mchungwa. Toa boriti kwenye jicho lako kwanza
Hii ni akili kubwa sana,hongera dada yangu,umeniongezea kitu asubuhi hii.Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
Wakufanya hivi?!Kabisa, tunataka mifumo ya taasisi imara na sio mtu imara. Tukiwa na taasisi imara mtu yeyote mwenye sifa za kuwa rais ataongoza kwa mafanikio makubwa. Tunahitaji taasisi zenye uwezo wa kutoa dira ya mwelekeo wa nchi, zenye uwezo wa kumwajibisha yeyote hata kama ni rais.
Tunahitaji utawala wa sheria utakaosimamiwa na hizo taasisi imara. Tunahitaji kuishi kwa kuhofia sheria inasemaje na sio hofu ya kumuogopa mtu.
Kwa ulichokiandika unamaanisha kuwa Tundu Lissu anauwezo wa kupambana na JPM kwenye ukumbi wa ngumi au wa siasa.Lissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura watakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao.
Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu Uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na Siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda sambamba na midundo ya Jiwe.
Wapinzani mnapoteza muda tu. Magufuli ni mshnd tayariLissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura watakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao.
Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu Uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na Siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda sambamba na midundo ya Jiwe.
Million 50 kila KIJIJI Ahadi haijatimia hadi sasaKwahiyo hoja ni kupambana na Magufuli na siyo Kuweza kutatua changamoto za wananchi
Lissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura watakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao.
Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu Uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na Siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda sambamba na midundo ya Jiwe.