Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Kwa jinsi ilivyo kwa sasa, huwenda nawakilisha wananchi wengi mamilioni kwa mamilioni wenye swali kama hili
Maisha yamekuwa ghali sana kushinda vipato vyetu,
Wengi wetu, vipato vyetu haviruhusu kucheza mbali na kula tuu, na hapo ni kwa kukatisha Milo, kama mtu kwa kipato hikihiki ambacho tulikitumia miaka michache iliyopita kwa kula na kulipia ada za watoto na mambo mbalimbali ya kifamilia, Leo kipato hikihiki, kinatulazimisha kufuta karibu mambo mengi ya mhimu na ya lazima
Kipato hiki kwa sasa, kinakulazimisha ukitumie kula tuu, usilipe ada na wala kufanya vitu vingine,
Swali najiuliza, mambo yanapokuwa hivi, ni kipi bora cha kufanya kuzingatia na mahitaji ya mhimu
Ulipie ada watoto ili ikiwezekana mfee, au bora mtumie kwa kula na watoto wasiende shule?
Je, serikali watatuelewa?
Na Je sasa, Serikali wanalifahamu hili kwamba wazazi wengi sana wanadaiwa huko mashuleni na uwezo wa kulipia ada watoto umeshuka na hswajui ni lini watalipa madeni yao?
Inapokuwa hivyo, serikali huyatafakari mambo hayo kwa mtazamo gani?
Ni rasimi sasa, ama sio Leo, au kesho ikiwa mambo yataendelea kuwa magumu kiasi hiki, shule binafsi zitafungwa, na au watumishi wa shule za binafsi watakuwa wahanga wa kukopesha fani zao kwa sababu wazazi hawana uwezo wa kulipia ada ili wao walipwe!
Maisha yamekuwa ghali sana kushinda vipato vyetu,
Wengi wetu, vipato vyetu haviruhusu kucheza mbali na kula tuu, na hapo ni kwa kukatisha Milo, kama mtu kwa kipato hikihiki ambacho tulikitumia miaka michache iliyopita kwa kula na kulipia ada za watoto na mambo mbalimbali ya kifamilia, Leo kipato hikihiki, kinatulazimisha kufuta karibu mambo mengi ya mhimu na ya lazima
Kipato hiki kwa sasa, kinakulazimisha ukitumie kula tuu, usilipe ada na wala kufanya vitu vingine,
Swali najiuliza, mambo yanapokuwa hivi, ni kipi bora cha kufanya kuzingatia na mahitaji ya mhimu
Ulipie ada watoto ili ikiwezekana mfee, au bora mtumie kwa kula na watoto wasiende shule?
Je, serikali watatuelewa?
Na Je sasa, Serikali wanalifahamu hili kwamba wazazi wengi sana wanadaiwa huko mashuleni na uwezo wa kulipia ada watoto umeshuka na hswajui ni lini watalipa madeni yao?
Inapokuwa hivyo, serikali huyatafakari mambo hayo kwa mtazamo gani?
Ni rasimi sasa, ama sio Leo, au kesho ikiwa mambo yataendelea kuwa magumu kiasi hiki, shule binafsi zitafungwa, na au watumishi wa shule za binafsi watakuwa wahanga wa kukopesha fani zao kwa sababu wazazi hawana uwezo wa kulipia ada ili wao walipwe!