Kwa sasa Asha Migiro ni nani?

Kwa sasa Asha Migiro ni nani?

Umesema "hana wadhifa wowote zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu"

Well, Naibu Katibu Mkuu Mstaafu sio wadhifa!

Kwa hiyo huwezi kusema "hana wadhifa wowote zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu"!

Ni muendelezo wa saratani ile ile ya Mtanzania, Kiswahili tabu, kilugha chao tabu, cha kijifunza tabu...!

Balaa tupu!

Rudia tena kuisoma sentensi yangu mara mbili mbili, maana naona umejaribu kunukuu na bado umesahau neno "kisiasa"...nadhani tatizo lako mkuu umekurupuka kusoma bandiko langu pasipo kutafakari maudhui.
Ukishindwa kuelewa mara hii basi una mushkeli kunako ubongoni mwako.
 
ritz katka watu wananiboa jamii forum ni wewe! una shida gani kunako ubongo?

Mkuu utajipa ugonjwa wa moyo bure, JF sio mali ya Chadema ni jukwaa huru kwani kuna mtu kukuladhimisha kusoma post zangu wewe zipotezee tu, kama utaendelea kuzisoma utazidi kujipasua kichwa.
 
Ni mbunge wa Arusha mjini, kama unabisha basi wewe sema mbunge wa Arusha mjini ni nani mwingine zaidi yake.
Lema ana cheo gani Chadema saizi mbona anachangisha pesa.
 
i myself i do wonder, haka ka mama, aibu tupu, njaa mbaya sana, hasa njaa ya akili....
This so called Dr.

Asha, performance yake at work i.e uongozi is almost zero, hata ukimsikia akiwa anaongea nothing she has, kama hasomi nahisi, kapata U Dr. basi kafikiri ni kula bata tu, UN kavurunda, karudi hapa sijui kanataka nn, na uwezo wake mdogo sana sana, kako ktk press mara kwa mara, kakitoa speech utashangaa.
Njaa mbaya sana
.
 
Sijamsikia huko. Na vigezo vya urais kupitia CCM ni u NEC. Sasa najiuliza kama bado Asha ni chaguo la Jk. Au NEC kuna viti maalum?
 
Mkuu utajipa ugonjwa wa moyo bure, JF sio mali ya Chadema ni jukwaa huru kwani kuna mtu kukuladhimisha kusoma post zangu wewe zipotezee tu, kama utaendelea kuzisoma utazidi kujipasua kichwa.

Na hii ndio maana ya demokrasia.
 
Kama wewe ni mchawi, basi kajipange upya, na kama unamlipa mtu kupiga bao, mtafute mwingine. Unaongelea wivu, wewe unaweza kuwa wa kwanza kwa kufikiri kila mtu ni mbeba masufuria.
Ukweli ni huo, huyo ni mwanamke wa tatu kwa CCM, kuboronga katika jumuia za kimataifa.Mongela, Tubaijuka na sasa Makinda hapo Dodoma.
Ha ha haaaa, unajua maana ya kuboronga wewe, hebu nipe definition ya kuboronga, niambia spika anna anaboronga wapi,? Mongela ameboronga wapi? na Migiro ameboronga wapi? kwa taarifa yako unaongea na international person, na ajira za UN huwa ni za mikataba mitanox2, na inakuwa ni rotation na hivyo muda wako ukiisha anatafutwa mtu kutoka nchi nyingine, kwa hiyo ni organisation ya kimataifa mtu hawezi kukaa milex2, kofi anani alipomaliza muda wake sasa hivi kapewa Ban kimmoon, sasa hapo tatizo liko wapi? na tuseme kila mtu anayemaliza mkataba wake anashindwa? hapa EAC watu mikataba inaisha na wanateuliwa watu wengine kutoka nchi nyengine hasa kwa nafasi za juu, sasa wewe huo uzushi umeupata wapi? nashukuru kwa matusi ila najua mtu mwenye upeo mfupi siku zote domo lake liko wazi kwa matusi. Asante kwa uzushi wako na watanzania wenye vichwa kama cha kwako watakuunga mkono, ila wale wenye positive mind never, sahau kabisa.
 
Ha ha haaaa, unajua maana ya kuboronga wewe, hebu nipe definition ya kuboronga, niambia spika anna anaboronga wapi,? Mongela ameboronga wapi? na Migiro ameboronga wapi? kwa taarifa yako unaongea na international person, na ajira za UN huwa ni za mikataba mitanox2, na inakuwa ni rotation na hivyo muda wako ukiisha anatafutwa mtu kutoka nchi nyingine, kwa hiyo ni organisation ya kimataifa mtu hawezi kukaa milex2, kofi anani alipomaliza muda wake sasa hivi kapewa Ban kimmoon, sasa hapo tatizo liko wapi? na tuseme kila mtu anayemaliza mkataba wake anashindwa? hapa EAC watu mikataba inaisha na wanateuliwa watu wengine kutoka nchi nyengine hasa kwa nafasi za juu, sasa wewe huo uzushi umeupata wapi? nashukuru kwa matusi ila najua mtu mwenye upeo mfupi siku zote domo lake liko wazi kwa matusi. Asante kwa uzushi wako na watanzania wenye vichwa kama cha kwako watakuunga mkono, ila wale wenye positive mind never, sahau kabisa.
Did I use any profanity on my comments? Do you know what are you talking about? Do you need help/love makes you brind?
 
Rudia tena kuisoma sentensi yangu mara mbili mbili, maana naona umejaribu kunukuu na bado umesahau neno "kisiasa"...nadhani tatizo lako mkuu umekurupuka kusoma bandiko langu .....

Sawa, narudia kukunukuu.

"Hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu"

Again, Naibu Katibu Mkuu Mstaafu sio wadhifa wa kisiasa, sio wadhifa period!

Unadai ubongo wangu una matatizo? Mtu ambae umeshindwa kutengeneza sentensi ya Kiswahili inayofuata misingi ya sarufi ya darasa la nne unadai mimi ndio nina matatizo?

Ngoja nikufundishe lugha. Mtu akisema "Watu8 hana elimu zaidi ya sekondari ya Kata" maana yake elimu anayo, lakini ni ya sekondari ya kata tu! Umeelewa? Kwamba hata sekondari ya kata nayo ni elimu, elimu unayo Watu8, tena ya sekondari, lakini ya kata!

Hivyo hivyo "Asha Rose hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu" maana yake Asha Rose ana wadhifa!
Kitu ambacho ni kuchemka kwa sababu unaibu katibu mkuu mstaafu sio wadhifa wa kisiasa, au wa chochote kile!

Wewe wa wapi huko ambako hata Kiswahili hamjifunzi, Nyasa?
 
Sawa, narudia kukunukuu.

"Hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu"

Again, Naibu Katibu Mkuu Mstaafu sio wadhifa wa kisiasa, sio wadhifa period!

Unadai ubongo wangu una matatizo? Mtu ambae umeshindwa kutengeneza sentensi ya Kiswahili inayofuata misingi ya sarufi ya darasa la nne unadai mimi ndio nina matatizo?

Ngoja nikufundishe lugha. Mtu akisema "Watu8 hana elimu zaidi ya sekondari ya Kata" maana yake elimu anayo, lakini ni ya sekondari ya kata tu! Umeelewa? Kwamba hata sekondari ya kata nayo ni elimu, elimu unayo Watu8, tena ya sekondari, lakini ya kata!

Hivyo hivyo "Asha Rose hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu" maana yake Asha Rose ana wadhifa!
Kitu ambacho ni kuchemka kwa sababu unaibu katibu mkuu mstaafu sio wadhifa wa kisiasa, au wa chochote kile!

Wewe wa wapi huko ambako hata Kiswahili hamjifunzi, Nyasa?

Hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu. Hii ni sentensi yangu

Watu8 hana elimu zaidi ya sekondari ya Kata. Hii ni sentensi yako

Mkuu hizo sentensi zina maana mbili tofauti...
Sentensi yako inaonesha ulinganifu na ndio maana hakuna maneno "zaidi ya kuwa". Kitendo cha wewe kutumia neno zaidi ya maana yake ni kuwa unataka kulinganisha.
Lakini ukiisoma vizuri sentensi yangu utagundua nimeanza kwa kukanusha kuwa Migiro hana wadhifa katika siasa "Hana wadhifa wowote kisiasa ", baada ya hapo nikajaribu kumuondoa mleta mada katika mzingo ambao pengine umemchanganya akili yake na kudhania Migiro anao wadhifa wowote wa kisiasa hapa nchini na hapo ndipo matumizi ya maneno zaidi ya kuwa yanapotumika sasa. Maana halisi ya sentensi hiyo ni kwamba "Hali ya migiro kuwa Naibu katibu Mkuu mstaafu, haimuhalalishi kuwa na wadhifa wa kisiasa hapa nchini".
Ukishindwa kukubaliana na maelezo haya ni vyema tukaufunga huu mjadala, zaidi unaweza ukaanzisha uzi kule jukwaa la lugha kwa kutumia sentensi yangu, tuone wajuzi zaidi wa lugha watakavyofafanua.
 
Did I use any profanity on my comments? Do you know what are you talking about? Do you need help/love makes you brind?
i BELIEVE YOU ARE ROUNDING THE BUSH, AND YOU HAVE NOTHING TO TELL OTHER THAN PROPAGANDAS. KEEP ON, MAANA KUFIKIRIA KWA TUMBO NDO MADHARA YAKE.
 
Lakini ukiisoma vizuri sentensi yangu utagundua nimeanza kwa kukanusha kuwa Migiro hana wadhifa katika siasa "Hana wadhifa wowote kisiasa ", baada ya hapo ...matumizi ya maneno zaidi ya kuwa yanapotumika sasa.
Unakosea tena! Huleti maana yeyote, you are not making any sense.

Ukisema "hana wadhifa wowote kisiasa zaidi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu mstaafu" maana yake anao wadhifa wa kisiasa mmoja tu, ambao ni kuwa naibu katibu mkuu mstaafu. Kitu ambacho hakina maana, Migiro hana wadhifa wowote!

Halafu unasema nina matatizo kwenye ubongo. Kwa nini hujui Kiswahili, hukwenda shule?
 
She is the secret 2015 Presidential Candidate of CCM Chairman.
 
Back
Top Bottom