asante kwa kujibu...Kwasasa ni Special Envoy for HIV/AIDS in Africa of the United Nations Secretary-General from 13 July 2012.Na kama unavyojua maswala ya HIV ni mtambuka ndiyo maana anaweza kuonekana sehemu tofauti na watu tofauti.
Na kama kazi yako ilikuwa ya mkataba, ukanyimwa kuongezewa mkataba; hiyo nayo tutaita nini?
so, technically she moved downwards in UN hierachy from deputy Gen. Secretary to Special envoy?Kwasasa ni Special Envoy for HIV/AIDS in Africa of the United Nations Secretary-General from 13 July 2012.Na kama unavyojua maswala ya HIV ni mtambuka ndiyo maana anaweza kuonekana sehemu tofauti na watu tofauti.
mtu akistaafishwa kwa manyufaa ya umma bado anastahik kuitwa mstaafu?
Naibu katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN).
JK anajaribu kumpika, lakini Dunia nzima itatucheka kama atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania. Mama kajaariwa kuwa na elimu nzuri, lakini uwezo katika fani ya Uongozi hamna kabisa. Hapa UN tunashindwa kujua sababu za kupwaya, labda hakuamini kushika nafasi kubwa kama ile au uwoga wa kuzungukwa na wazungu. Labda mjaribuni huko Bongo, udiwani kabla ya kumpendekeza Urais
Lema ana cheo gani Chadema saizi mbona anachangisha pesa.
Lema ana cheo gani Chadema saizi mbona anachangisha pesa.
Kwasasa ni Special Envoy for HIV/AIDS in Africa of the United Nations Secretary-General from 13 July 2012.Na kama unavyojua maswala ya HIV ni mtambuka ndiyo maana anaweza kuonekana sehemu tofauti na watu tofauti.
i hope hana mawazo ya kuja kuwa rais maana anaonekana fitna na michezo michafu ya kisiasa haiwezi,..hivi inakuwaje unaacha kufundisha unakimbilia siasa?ni uroho wa pesa au nini?Kwasasa ni Special Envoy for HIV/AIDS in Africa of the United Nations Secretary-General from 13 July 2012.Na kama unavyojua maswala ya HIV ni mtambuka ndiyo maana anaweza kuonekana sehemu tofauti na watu tofauti.
Acha umbeya ndg, Migiro hakushindwa UN bali mkataba wake umeisha na yeye mwenyewe ameamua kurudi nyumbani, lkn sio kwamba eti ndo akae tu bila hata ya kutumia ujuzi alio upata huko kimaifa, eti kuna watu wanamuonea wivu urais 2015, na usijipe chati chati eti uko UN, wakati wewe ni mbeba masufuria ya mama lishe hapo manzese. hata hiyo UN yenyewe unaisikia tu, kwa sababu laiti ungekuwa unajua usingeandika uozo huo.
Naona hapa umechanganya. Asha Rose ni CCM.Dr. Asha Rose oyeeee! Peopleoooooooooooooooooooooz poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
Acha umbeya ndg, Migiro hakushindwa UN bali mkataba wake umeisha na yeye mwenyewe ameamua kurudi nyumbani, lkn sio kwamba eti ndo akae tu bila hata ya kutumia ujuzi alio upata huko kimaifa, eti kuna watu wanamuonea wivu urais 2015, na usijipe chati chati eti uko UN, wakati wewe ni mbeba masufuria ya mama lishe hapo manzese. hata hiyo UN yenyewe unaisikia tu, kwa sababu laiti ungekuwa unajua usingeandika uozo huo.
Tuamwona Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN) Dk Asha-Rose Migiro kwenye vyombo vya habari kila mara. Mara hii anaongozana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Hawa Ghasia wakiongozana huko Arusha kufungua mkutano wa Umoja wa Mawaziri wa Serikali za Mitaa wa Afrika Mashariki. Tungependa kujua wadhifa wake wa sasa katika medani za siasa hapa nchini.
Lakini si alisema kuwa anataka kururi kufundisha UDSM? Bado apenda siasa? Si nilisikia kuwa aliacha UN kwa "kutokukidhi haja" au viwango?
Miss Utalii wa CCM.