Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
Umeeleza vizuri mkuu, wanaosema beno nduru yuko sahihi nashindwa kuwaelewa,kila kampuni inayofanya biashara ni lazima ilipe kodi na kodi hiyo inakatwa kwenye mapato ya kampuni husika.Hii ni hesabu rahisi lakn wenye mabenki wanatufanya tuwe kama wajinga wao.
!
!
Unajua maana ya VAT? Rudi Darasani kasome uelewe ndio uchangie, sio kuonesha uJeska wako hapa